Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,486
- 3,411
HABARI kubwa leo ni jakaya alikuwa ahutubue bunge ..laakini last touches wamesema kuwa atahutubia wabunge kupitia wazee wa mkoa wa dodoma...hii ina maana kuwa hotuba yake haitaweza kujadiliwa rasmi na wabunge kwa kuwa haijatolewa bungeni...
watu wanajiuliza kisa cha kikwete kukimbia wabunge .....na zaidi inahusishwa na kebehi alizopewa na spika wa bunge mara ya mwisho alipohutubia ...hatua iliyopelekea ikulu kususa kupeleka copies za hotuba ya rais kama fomalities zinavyotaka ili waijadili....ile ilikuwa hotuba pekee kutolewa na rais bungeni na isijadiliwe[tangu tupate uhuru]...
Yes, It was such an empty worded speech. Mungu apishe mbali isijirudie tena. Bora awahutubie 'wazee wa kigogo'