Maxence anazungumza kwa jinsi alivyomfahamu Regia
Ndio tunarekebisha hiloTF hivi kule kwenye skype hamuwezi kupiga kwenye group ili tusikie mnachoongea??
Usijali kwa vile waandaji swala la usalama walilitilia maanani, kila kitu siku hizi lazima usalama uwe compulsory!!! Bila shaka waliconsult wakuu wa usalama kufanya maandalizi!!!!!!!!mex
akikisheni kila anaepita amehakikiwa vilivyo hasa silaha jamani..itatia aibu mtu kaja anamtafuta didy ni yupi mnasikia mnarejea tena KARIMJEE..SIJUI TUTAKUWA KARIMJEE MPAKA LINI!!USALAMA HOPE UKO JUU
Ndio tunarekebisha hilo
Nawatakia mkutano mwema ingawa sina upeo wa kujua faida yake. Hao ma british lazima jamaa wa CCM ndio aliwapambia huo ukumbi. Au hizo ndio bendera za chama cha Cameron?
Hakuna kiingilio na unakaribishwa sana bado mkutano unaendelea..Mimi niko jirani kabisa na hapo BC, naruhusiwa kuhudhuria? Je kuna kiingilio au?
Wanachama mbalimbali wanaendelea kuongea namna walivyoifahamu JF na kumfahamu Regia tuna watu wa aina mbalmbali walioweza kuhushuria