FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
Wadau naomba kujulishwa je kutofanya mapenzi(kutojitoa kabisa tangu utoto had ukubwani) kuna madhara yoyote kiafya? Nawasilisha.
Ngoja mapadri na manun waje kutowa jibu.
Wadau naomba kujulishwa je kutofanya mapenzi(kutojitoa kabisa tangu utoto had ukubwani) kuna madhara yoyote kiafya? Nawasilisha.