adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,747
- 37,588
Moja kwa moja..
Siku za nyuma nilienda Veta kuchukua cheti changu , niliistaajabu baada ya kupewa yule Dada aliyenipa aliniambia nisiweke lamination bila kuniambia sababu.
Naomba kujua wajuzi je , ipi inawezekana kuwa sababu ya kuniambia hivyo na je , Kuna madhara yeyote niliweka ? maana vyeti vyangu vingi vya O_level , Advance , kuzaliwa , best student nk vyote nimewekea lamination.
Na bila lamination sidhani kama nitatoboa kwenye utunzaji , na hata nikitoboa itakuwa kwa mbinde sana labda
#UziTayari
Siku za nyuma nilienda Veta kuchukua cheti changu , niliistaajabu baada ya kupewa yule Dada aliyenipa aliniambia nisiweke lamination bila kuniambia sababu.
Naomba kujua wajuzi je , ipi inawezekana kuwa sababu ya kuniambia hivyo na je , Kuna madhara yeyote niliweka ? maana vyeti vyangu vingi vya O_level , Advance , kuzaliwa , best student nk vyote nimewekea lamination.
Na bila lamination sidhani kama nitatoboa kwenye utunzaji , na hata nikitoboa itakuwa kwa mbinde sana labda
#UziTayari