Tafakari_nami
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 783
- 1,546
Masuala ya data, interpretation, recruitment, na translation. Soon, nitajikita kwenye masuala ya software
Nilipambana sana kutafuta hizi kazi mkuu yaani sana ila sikuwa napata kazi hizo Dah!! Ndiyo moja ya sababu nika jikita kwenye forex nakumbuka hiyo ilikuwa 2019.Masuala ya data, interpretation, recruitment, na translation. Soon, nitajikita kwenye masuala ya software development
Nimeanzia analysis Monthly, shuka daily, njoo,1hr malizia na 15, entry ni 5 au3 minute'sYaani tupeane signal mze
Hiyo USDJPY hapo ilipo haiwezi sell kiongozi naona hapo kama kuna ka resistence!
Mze huwa kumbe una trade hadi time frame ya 15m
Jifunze software development unaweza ukapata kazi zaidi ya 1000 USD kwa mwenzi.Hapa sizungumzi kazi za kijanja janja unaotea kwa muda mchache unapiga dola kadhaa alafu baada ya hapo mchongo unakuwa ushachuja unaanza upya kujitafuta kwengine, nazungumzia kazi iwe ya uhakika kiasi kwamba kuna watu wamezigeuza ziwe ajira rasmi wanazifanya hata kwa miaka mitatu +.
kazi ziwe na watu wanao withdraw walau dola 400 (shilingi milioni moja) kila mwezi
Kazi ziwe halali sio za kufanya kwa kujificha, mtu akishika laptop unayofanyia kazi roho inaenda mbio, unaogopa hata kumfundisha mwanafamilia hio kazi yako.
Pata darasa and become free. Karibu kama una taka darasa.Mkuu tuone mkeka utujenge moyo maana forex siye imetufanya vile haifai
yes unaweza ila ni kazi za kuajiriwa ama kujiajiri izi beting amna kituHapa sizungumzi kazi za kijanja janja unaotea kwa muda mchache unapiga dola kadhaa alafu baada ya hapo mchongo unakuwa ushachuja unaanza upya kujitafuta kwengine, nazungumzia kazi iwe ya uhakika kiasi kwamba kuna watu wamezigeuza ziwe ajira rasmi wanazifanya hata kwa miaka mitatu +.
kazi ziwe na watu wanao withdraw walau dola 400 (shilingi milioni moja) kila mwezi
Kazi ziwe halali sio za kufanya kwa kujificha, mtu akishika laptop unayofanyia kazi roho inaenda mbio, unaogopa hata kumfundisha mwanafamilia hio kazi yako.
wanafanya forex nq hawana makeleleHapa sizungumzi kazi za kijanja janja unaotea kwa muda mchache unapiga dola kadhaa alafu baada ya hapo mchongo unakuwa ushachuja unaanza upya kujitafuta kwengine, nazungumzia kazi iwe ya uhakika kiasi kwamba kuna watu wamezigeuza ziwe ajira rasmi wanazifanya hata kwa miaka mitatu +.
kazi ziwe na watu wanao withdraw walau dola 400 (shilingi milioni moja) kila mwezi
Kazi ziwe halali sio za kufanya kwa kujificha, mtu akishika laptop unayofanyia kazi roho inaenda mbio, unaogopa hata kumfundisha mwanafamilia hio kazi yako.
Mkuu nipe abc niingie mzigoniJifunze software development unaweza ukapata kazi zaidi ya 1000 USD kwa mwenzi.
Naomba mwongozo hapa kiongozi, nipate pa kuanzia. AhsanteJifunze software development unaweza ukapata kazi zaidi ya 1000 USD kwa mwenzi.
Una offer services zipi mkuu?!Freelancing kupiga $400+ kwa mwezi ni kitu cha kawaida. Nina almost 3 years nafanya freelancing kwenye majukwaa ya Kidigitali Upwork & Fiverr
This is Legit!Jifunze software development unaweza ukapata kazi zaidi ya 1000 USD kwa mwenzi.