Ah lakini inawezekana tu mbona, mimi ninalo ndani lilibaki baada ya kuacha hiyo biashara, japo sina uzungu wa kununua mahindi ya bisi nikachoma.😹😹😹 Marhaba
Mashine lote hilo ununue kwa kutengenezea bisi za kula, kibongo bongo hajatukamata 🤣
kwanini uliacha biashara? ulikuwa unatumia machine ya umeme au ya gas?Ah lakini inawezekana tu mbona, mimi ninalo ndani lilibaki baada ya kuacha hiyo biashara, japo sina uzungu wa kununua mahindi ya bisi nikachoma.
Pia watu wanayo kibao tu hasa wale waliowahi kununua kwa kufata mkumbo, hivyo sio ajabu akalipata kutoka hata kwa ndugu.
Ya umeme mkuu.kwanini uliacha biashara? ulikuwa unatumia machine ya umeme au ya gas?
aisee hebu nifundishe bado sijafanikiwaKama ukishindwa mahali nishtue hapa, nimeifanya hii kazi japo ni muda kidogo lakini naamini nitakumbuka zinavyo pikwa kwa mashine.
Hapana siuzi natengeneza za kula tu na hasa panapokuwa na wageni home basi natengeneza,hapa home napenda sana kupika vitu vya kila ainaUongo unatengeneza za kuuza 😹😹😹
Ushahidi wa pichaNajaribu kutengeneza bisi kwa popcorn mashine lakini sifanikiwi nyingi zinauungua tu,naweka mafuta kwenye kichombo,yakichemka naweka bisi,sasa shida ni kwamba chache zinapasuka vizuri ila. nyingi zinaungua.Naomba mwenye ufahamu juu ya hizi mashine zinavyofanya kazi anifundishe nifanyeje.Ni zile mashine kubwa ambazo hutumiwa na wafanyabiashara wa popcorn hii yangu ni mr uk
Hakuna wa kukuchapa mkuu..!! Tunapenda wajasiliamali 😹😹Hapana siuzi natengeneza za kula tu na hasa panapokuwa na wageni home basi natengeneza,hapa home napenda sana kupika vitu vya kila aina
Sawa ila bisi mie natengeneza za kula tuHakuna wa kukuchapa mkuu..!! Tunapenda wajasiliamali 😹😹
sawa siku nikitengeneza ntapost pichaUshahidi wa picha
Leo Shida ipo wapi mkuu?aisee hebu nifundishe bado sijafanikiwa
Kijiwe chako kinapatikana wapi tukuungishe mkuu 😹😹Sawa ila bisi mie natengeneza za kula tu
😆😆😂😂😂🤣🤣🤣Kijiwe chako kinapatikana wapi tukuungishe mkuu 😹😹
Leo sijatengeneza,ila shida ipo kila nikichoma nusu zinaungua na nusu ndio zinapasuka,nimejaribu njia mbili:Leo Shida ipo wapi mkuu?
Mimi sina kijiwe natengeneza home kwa ajili ya kula tu,na nipo mwanzaKijiwe chako kinapatikana wapi tukuungishe mkuu 😹😹
We nawe mpana!! 😹😆😆😂😂😂🤣🤣🤣
Unapima kuanzia kiasi gani na shingapi mkuu..!! 😜Mimi sina kijiwe natengeneza home kwa ajili ya kula tu,na nipo mwanza
Mkuu kama maelezo niliyokupa pale juu yamefeli, itabidi tuongee kwa kutumia simu, wiki hii niko bize siwezi kuandika maelezo marefu, kwa sababu kuna vitu naandika kwenye simu, humu jf huwa nakuja nachungulia na kujibu comment za wadau kisha nazama tena.Leo sijatengeneza,ila shida ipo kila nikichoma nusu zinaungua na nusu ndio zinapasuka,nimejaribu njia mbili:
1.nilitanguliza mafuta yakapata moto ndio nikaweka bisi
2.Niliweka bisi na mafuta kwa wakati mmoja lakini njia zote hizo matokeo ni yaleyale