fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,707
- 7,384
Najaribu kutengeneza bisi kwa popcorn mashine lakini sifanikiwi nyingi zinauungua tu,naweka mafuta kwenye kichombo,yakichemka naweka bisi,sasa shida ni kwamba chache zinapasuka vizuri ila. nyingi zinaungua.Naomba mwenye ufahamu juu ya hizi mashine zinavyofanya kazi anifundishe nifanyeje.Ni zile mashine kubwa ambazo hutumiwa na wafanyabiashara wa popcorn hii yangu ni mr uk