Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
- Thread starter
- #261
You are very wrong broo.... Nashkuru hawakupoteza nguvu zao bure kunishauri.Kwa ufupi dada huyu kwa mliosoma Sexology au Psycholoy ya mahusiano HAWEZI KUMUACHA HUYU MSELA NA NDIYO MAANA AMEKUJA KWENU ila kwakuwa Watz.mlio wengi mnamawazo ya mwendokasi kama kawa bila kutafakari mnachokisema au kilichosemwa au kuandikwa mnakurupuka na kutoa yenu ya moyoni au akilini TU.
Kwa maana kama angelikuwa hampendi na hataki kurudiana na msela wake wa zamani asingelikuja humu JF ku ask again,kwa ufupi hapa mnatwanga maji kwenye kinu maana kwanza hawa chura sasa hivi ni wengi in reality kuliko wanaume.
Yaani Man To Many au Many Women/Girls to Man.
Siyo ninawadharau papuchis ila ni nyeupe hii ninawapa kwa mnaofumba na kuziba masikio kwa kujifanya.
Zaidi hii ni dunia yenye ushindani wa kila kitu,hivyo sote tunapaswa ubunifu na usanifu kwenye nyanja zote achilia mbali mapenzi.
Ni hivi kuna mapungufu huenda yalitokea kati yenu na kukosa busara either yamesababishwa na mmoja wenu kwa kujua au kuto kujua na kutoa mwanya kwa kicheche kumchukua kifaranga na hatimaye ameshindwa kumla na kumtapika.
My Take Now: Wewe Mrembo kaa na mwenza wako aliye kusaliti akupe sababu na hatimaye myamalize wenyewe na kupeane ahadi upya na hatimaye kuwa wa moja tena,kwani zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Ni rahisi mkaishi na huyu mwenzawako kuwa mnajuana tabia kwa sasa na madhaifu pamoja na uimara wa kila mmoja wenu na endapo utakaidi shauri yako kwani hakuna vijana waliotulia kwa sasa abadani zaidi ya kuhangaika na kujiua mwishowe kwa magonjwa au pressure ya maprnzi kwa kutumika na kuachwa tu.
Mkapime msameheane na mfunge ndoa Mungu awabariki na kuwasamehe dhambi zenu zote zikiwemo za ngono za awali hadi mnaumizana kwa kutoana bikra kabla ya muda wake na kama uko Dsm badilika maana huku ni uozo mtupu.
Nilivo leo ni kutokana na ushauri wa wana Jf,nimejitambua na ninasonga mbele. Vinginevo ningerudia matapishi na kuendelea kuumia ila nashkuru kwa ushauri wa humu. Nimevuka na ninasonga