Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
uchawi wanaacha?!Hapana mimi sio mchawi nimeacha
ulinyolewa nini?!!!
uchawi wanaacha?!Hapana mimi sio mchawi nimeacha
hapana niliamua tu kubadili gia, niliangaziwa
hujaacha kuwanga badoHahahaa keshakuwa mshkaji wangu nitaenda tena
ngoma uncheza Ila nyama za watu huli tena....!Nimeacha
kikikosekana chakula nakula
Kuna mdogo wangu alianza kutembea akiwa usingizin hadi umbali wa km 1 na zaidi pindi akiwa shule mpaka sasa tatizo lishakuwa kubwa (kifafa) tumezunguka hospital kubwa zote hapa nchin hatujafanikiwa tumejaribu tiba mbadala napo hakuna matumain je tumsaidiaje huyu mgonjwa ili apate nafuu aendelee na masomo yake
Wengi wetu tumeshakumbana na hili tatizo aidha sisi wenyewe ama kupitia ndugu jamaa au hata rafiki, ni tatizo la kiufahamu ambalo husababishwa na matatizo mengine mwilini kama mfumo wa upumuaji kutokuwa sawa, shida kwenye mfumo wa kusukuma damu, madawa msongo wa mawazo uchovu fikra za kufikirika nk
Kiroho pia ina tafsiri yake kwamba hata unapokuwa umelala na hujitambui ufahamu wako huwa active na kufanya mengine yote bila wewe mwenyewe kwenye nafsi ya utashi ukishindwa kutambua lolote.
Kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa hata wale wanga na wachawi wanaochukua watu usiku hutumia formula ya ufahamu kuchukua watu kwenda kuwafanyisha kazi kisha kuwarudisha bila wao kujitambua
Dalili za tatizo hili kwa baadhi huanza utotoni ambalo wala mtoto hana stress nk, na utakuta mtoto anaongea pekeyake bila kutoa sauti anakunjua sura ama kukunja na wakati mwingine kushtuka,(hapa mambo ya kishirikina pia huhusika sana)
Hali hii hutokea masaa takibran matatu baada ya kulala ama kwenye usingizi mzito usiku wa manane na huweza kudumu kuanzia sekunde 30 mpaka nususaa.
Tatizo hili hutofautiana ukubwa, wengine huamka tu kitandani na kuzunguka ndani ya chumba na kurudi kulala! Ila wengine huamka na kama ni mwanafunzi huvaa uniform kabisa na kutoka mpaka nje hata wafanyakazi pia!
Akiwa katika hali hiyo huweza kutembea mpaka hatua kadhaa kisha kurejea ndani na kulala tena huku mwenyewe kwenye hali ya utashi akiwa hajui lolote
Nimekutana na kesi za namna hiyo na watu wakitibiwa kwa kitunguu saumu ama ndimu(hii ni tiba mbadala)kwakuwa kwa hospitali hizi za kizungu hili halina tiba bali hupotea lenyewe au kwa njia ya kutibu chanzo, hasa kama limesababishwa na viashiria vya wazi kama madawa msukumo wa damu stress nk
Kiafrika haishauriwi kabisa kumshtua mtu anayetembea usingizini kwakuwa kile kitendo si utashi wake bali ni command ya ufahamu ambalo haukuwalisiana na nafsi ya utashi (kutenda kwa uamuzi)kinachotakiwa ni kumshika mkono na kumrudisha kitandani taratibu na mara nyingi ufahamu hutii....!
Si wote wanaoamka asubuhi wakiwa wachovu au wamechafuka miguu nk ni matendo ya kishirikina, wengine ni hili tatizo la kutembea usingizini.
Mmh kwakweli hapa ni ngumu kusema kuwa naweza kusaidia chochote kama huko kote imeshindikana ila ngoja nitapita huku na kule nione kama anaweza kusaidikaKuna mdogo wangu alianza kutembea akiwa usingizin hadi umbali wa km 1 na zaidi pindi akiwa shule mpaka sasa tatizo lishakuwa kubwa (kifafa) tumezunguka hospital kubwa zote hapa nchin hatujafanikiwa tumejaribu tiba mbadala napo hakuna matumain je tumsaidiaje huyu mgonjwa ili apate nafuu aendelee na masomo yake
Nimekupata mkuu, ahsante kwa majibu, jengine Mara nyingi hua tunakwenda na kupita kwenye shamba lake, sikumbuki hata siku moja kumuona analima au anapalilia hata kupanda, wala sijabahatika kumkuta mtu akifanya hiyo kazi, kwa miaka yote niliokaa pale. Lakini hilo shamba liko safi, rutuba ana mazao ya kumwaga.Kwa huyu jamaa wako wa Ethiopia inawezekana kabisa ni maradhi yanayohusiana na hii mada lakini Kwa huyo mzee wako ni mmojawapo wa watu wanaomiliki supernatural powers, ana uwezo wa kusafiri popote kula chochote ama kufanya chochote bila kujulikana na wengine na hafanyi Kwa kificho, kwenye hili wengine huchanganya na ushirikina
Wiki iliyopita nilileta habari za jamaa mmoja huko Nyamisati , ni kama huyo mzee wako
Linahudumiwa na vibarua ila nyie hamuwaoni, inawezekana ni misukule au ni watu tu wengine lakini nyie hamuwaoniNimekupata mkuu, ahsante kwa majibu, jengine Mara nyingi hua tunakwenda na kupita kwenye shamba lake, sikumbuki hata siku moja kumuona analima au anapalilia hata kupanda, wala sijabahatika kumkuta mtu akifanya hiyo kazi, kwa miaka yote niliokaa pale. Lakini hilo shamba liko safi, rutuba ana mazao ya kumwaga.
ThanksLinahudumiwa na vibarua ila nyie hamuwaoni, inawezekana ni misukule au ni watu tu wengine lakini nyie hamuwaoni
Naomba kuuliza hili linanihusu mwenyewe. Nilivyokuwa kijijini ndoto zangu nyingi huota kuwa ninaruka, kuvuka bahari nahata milima nawakati mwengine kwenda nchi mbali mbali ambazo hata sizifahamu. Baada ya miaka kazaa nikabahatika kusafiri kwa kiasi, na baazi ya nchi mzingira yake yanafanana na nchi zile nilizokuwa naota. kilichokuwa kinanishangaza, miaka ilipoenda, hata kama niko kwenye mji wowote ule mkubwa kwa mfano NY,nikilala naota niko kijijini na naishi maisha ya ufukara sana. jengine huota naendesha gari cha ajabu nakuwa naendesha bila kuona mbele au naendesha gari inarudi nyuma tena kwa spidi kubwa. Kilichonitisha kabisa nimeota nimepata kichaa naishi na kula kwenye majalala. Hebu nipe fikra zakoThanks
Naomba nipe muda kwenye hili tafadhaliNaomba kuuliza hili linanihusu mwenyewe. Nilivyokuwa kijijini ndoto zangu nyingi huota kuwa ninaruka, kuvuka bahari nahata milima nawakati mwengine kwenda nchi mbali mbali ambazo hata sizifahamu. Baada ya miaka kazaa nikabahatika kusafiri kwa kiasi, na baazi ya nchi mzingira yake yanafanana na nchi zile nilizokuwa naota. kilichokuwa kinanishangaza, miaka ilipoenda, hata kama niko kwenye mji wowote ule mkubwa kwa mfano NY,nikilala naota niko kijijini na naishi maisha ya ufukara sana. jengine huota naendesha gari cha ajabu nakuwa naendesha bila kuona mbele au naendesha gari inarudi nyuma tena kwa spidi kubwa. Kilichonitisha kabisa nimeota nimepata kichaa naishi na kula kwenye majalala. Hebu nipe fikra zako