Kutembea ukiwa usingizini

Kutembea ukiwa usingizini

Hii ilinitokea mimi,kipindi nikiwa Mvulana tu! Kati ya miaka 16-20,nilikuwa nikiishi nyumbani kwenye nyumba ndogo mfano wa servant quoter yenye chumba kimoja na sebule,mwanzo nilikuwa nikiishi hapo na kaka yangu ambaye baadaye alihamia mji mwingine! Sasa siku moja nikiwa nimetoka nyumba kubwa kupata mlo wa usiku nikafika kwenye kitanda changu na kukaa hapo kwa muda nikiwaza kitu ambacho sikuwahi kukikumbuka hata,,lakini obviously nilikuwa in a deep absorption!! Sasa baada ya muda kidogo nikaanza kuhisi kama ninaota kwenye mazingira hayo hayo!nilianza kusikia mtu akisukuma mlango wa kuingia sebuleni,nilisikia mkwaruzo wa bawaba wakati mlango unafunguka hadi ulipogonga kwenye frame ya mlango wa chumbani,nikapata hisia za kutoka nione nani anayeingia,muda huo ilikuwa ni mishale ya saa nne au zaidi kidogo,nikanyanyuka,kwenda sebuleni huku nikihisi kizunguzungu kikali! Mlango wa kutoka chumbani ulikuwa wazi,nilipofika tu katikati ya mlango wa kutoka chumbani nikaona Mwanga mkali ukitokea sebuleni,na mlango wa sebuleni ulikuwa wazi Japo nilikumbuka kama niliufunga wakati naingia, nikaogopa na kuamua kurudi chumbani huku nikiacha mlango wa nje ukiwa wazi,Sikufanikiwa kufika chumbani kwani ghafla tu nilipofika katikati ya mlango wa ndani nilihisi kumwagikiwa na kitu cha majimaji! Niilipojitazama nikaona damu nyingi ikimiminika kutoka kwenye Tundu dogo lililopo juu kwenye ceiling board,muda wote huo nilikuwa siwezi hata kuinua mguu!!nilikuwa ganzi mwili mzima! Nikawa nasali kimoyo moyo!ghafla Nikahisi nguvu zikinirudia na ufahamu kuanza kkurejea. Taratibu! Sekunde chache baadaye nikajikuta nikiwa na ufahamu kamili huku nikiwa nimekaa palepale kitandani huku nikiwa nimechoka sana na jasho likinitoka kwa wingi! Nikatoka na kurudi nyumba kubwa (kwa mshua) nikagonga mlango! Mama akauliza "nani?" nikajibu "mimi fulani" akauliza tena kuna nini? Nikamwambia "Nimekuja kulala huku" aliivyofungua nikaangalia saa ya ukutani!! Ilikuwa saa saba na zaidi! Baada ya kumwadithia mama asubuhi yake akanipeleka hospitali,nikapimwa malaria nk! Sikuwa na ugonjwa wowote!!
Hiyo ndoto naikumbuka hadi leo ninapoelekea Uzeeni!
 
Hii ilinitokea mimi,kipindi nikiwa Mvulana tu! Kati ya miaka 16-20,nilikuwa nikiishi nyumbani kwenye nyumba ndogo mfano wa servant quoter yenye chumba kimoja na sebule,mwanzo nilikuwa nikiishi hapo na kaka yangu ambaye baadaye alihamia mji mwingine! Sasa siku moja nikiwa nimetoka nyumba kubwa kupata mlo wa usiku nikafika kwenye kitanda changu na kukaa hapo kwa muda nikiwaza kitu ambacho sikuwahi kukikumbuka hata,,lakini obviously nilikuwa in a deep absorption!! Sasa baada ya muda kidogo nikaanza kuhisi kama ninaota kwenye mazingira hayo hayo!nilianza kusikia mtu akisukuma mlango wa kuingia sebuleni,nilisikia mkwaruzo wa bawaba wakati mlango unafunguka hadi ulipogonga kwenye frame ya mlango wa chumbani,nikapata hisia za kutoka nione nani anayeingia,muda huo ilikuwa ni mishale ya saa nne au zaidi kidogo,nikanyanyuka,kwenda sebuleni huku nikihisi kizunguzungu kikali! Mlango wa kutoka chumbani ulikuwa wazi,nilipofika tu katikati ya mlango wa kutoka chumbani nikaona Mwanga mkali ukitokea sebuleni,na mlango wa sebuleni ulikuwa wazi Japo nilikumbuka kama niliufunga wakati naingia, nikaogopa na kuamua kurudi chumbani huku nikiacha mlango wa nje ukiwa wazi,Sikufanikiwa kufika chumbani kwani ghafla tu nilipofika katikati ya mlango wa ndani nilihisi kumwagikiwa na kitu cha majimaji! Niilipojitazama nikaona damu nyingi ikimiminika kutoka kwenye Tundu dogo lililopo juu kwenye ceiling board,muda wote huo nilikuwa siwezi hata kuinua mguu!!nilikuwa ganzi mwili mzima! Nikawa nasali kimoyo moyo!ghafla Nikahisi nguvu zikinirudia na ufahamu kuanza kkurejea. Taratibu! Sekunde chache baadaye nikajikuta nikiwa na ufahamu kamili huku nikiwa nimekaa palepale kitandani huku nikiwa nimechoka sana na jasho likinitoka kwa wingi! Nikatoka na kurudi nyumba kubwa (kwa mshua) nikagonga mlango! Mama akauliza "nani?" nikajibu "mimi fulani" akauliza tena kuna nini? Nikamwambia "Nimekuja kulala huku" aliivyofungua nikaangalia saa ya ukutani!! Ilikuwa saa saba na zaidi! Baada ya kumwadithia mama asubuhi yake akanipeleka hospitali,nikapimwa malaria nk! Sikuwa na ugonjwa wowote!!
Hiyo ndoto naikumbuka hadi leo ninapoelekea Uzeeni!
Duuu....!!! Hii habari ningeileta mimi wale wajamaa wangeshajaza hapa kila mmoja akiandika lake
Naamini kuna kitu kilikutokea tofauti kabisa na muktadha wa mada hii, kuna nguvu ya giza ilichukua nafasi yake. ..
 
Duuu....!!! Hii habari ningeileta mimi wale wajamaa wangeshajaza hapa kila mmoja akiandika lake
Naamini kuna kitu kilikutokea tofauti kabisa na muktadha wa mada hii, kuna nguvu ya giza ilichukua nafasi yake. ..
Inawezekana!!
 
Je ilishawahi kujirudia tena?
Hapana mkuu! Ikitokea Nikaota ndoto ambayo siielewi elewi basi huwa asubuhi yake nawahi hospitali! Na mara nyingii huwa nnakutwa nina malaria au chanzo kingine cha homa! Au usiku wa kwanza ninaporudi kutoka safari ya mbali naweza kuota maruweruwe kidogo! Ila kwa aina hii nilishauriwa kula mlo mwepesi kabla ya kulala na kupiga 1-2 glass of light wine after dinner! It just work fine!
 
Hivi mshana jr mm kuna matukio mengine huwa yanapotokea katika maisha yangu ya kila siku mala nyingine huwa nayaona kama si mageni yani nililiona kabla. Ila nakuwa sikumbuki nililiona wapi. Hivi ni kweli huwa huenda nililiona au nin kinahusika.
 
Hivi mshana jr mm kuna matukio mengine huwa yanapotokea katika maisha yangu ya kila siku mala nyingine huwa nayaona kama si mageni yani nililiona kabla. Ila nakuwa sikumbuki nililiona wapi. Hivi ni kweli huwa huenda nililiona au nin kinahusika.
Hii inahusuka na reincarnation, kuna topic yake ngoja nikiipata takutag
 
Mim kipind ambacho bad nasoma ilikuwa kila ifikapo usiku mwingi naongea mnoo yaani lakin naongea maneno ambayo hayaeleweki yaani naongea kilugha ndani ya usingizi hapo nawakati nikiwa na ufaham wangu yaani nikiwa macho ukiniambia niongee hicho kikwetu sijui hata moja zaidi ya salam tu nikiinuka asubuh ndo nahadithiwa Kama niliongea usiku mpk muda mwengine nainuka nakaa kabisa kitandani Ile hali ikawa ni mazoea yangu kabisa yaani kila nikifika usiku mpka niongee lkn nashangaa sasa hivi nashukuru mungu sinayo tena hali ile
 
Kwa baadhi ambao hawana tatizo lingine lolote lakini huwa mahiri na waliobobea kwenye fikra za kufikirika hufikia kutengeneza matendo halisi kwenye ufahamu na kujikuta wanayatekeleza usingizini bila utashi wa nafsi
2012cab92a1a91bfd312924a2ca2dc92.jpg
mshana wewe ni mganga au mchawi?!!

hebu nambie kwanza!! samahani lakini
 
Hivi mshana jr mm kuna matukio mengine huwa yanapotokea katika maisha yangu ya kila siku mala nyingine huwa nayaona kama si mageni yani nililiona kabla. Ila nakuwa sikumbuki nililiona wapi. Hivi ni kweli huwa huenda nililiona au nin kinahusika.
Hii kitu hata mim huwa inanitokea kwel had najiuliza mbona ilishanitokea na leo kinatokea tena huwa nabaki nawaza bila kupata majibu
 
Back
Top Bottom