Halfcaste
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 972
- 215
Ametumwa...
great thinker
Ametumwa...
:blah::blah::blah::blah:zake tumezoea. Not in piece, but in PIECES:rain:crazy prophet, die in piece
Jamani lakini msimbishie sana, inawezekana INTELIJENSIA ya kichwa chake imemuongoza hivyo kama IGP MWEMA anavyoongozwa na INTELIJENSIA zake:spider::spider::spider::spider:
Ametabiri Leo kwamba kutakuwa na machafuko makubwa tz, siri za serikali zitavuja, uchumi utasambaratika, utawala utasambaratika!
Source: clouds FM saa 12 jioni leo
Nina shaka na hilo kwani utabiri huu ni against JK. Labda hakulipwa alichoahidiwa wakati wa kampeni
Ametabiri Leo kwamba kutakuwa na machafuko makubwa tz, siri za serikali zitavuja, uchumi utasambaratika, utawala utasambaratika!
Source: clouds FM saa 12 jioni leo
Ametabiri Leo kwamba kutakuwa na machafuko makubwa tz, siri za serikali zitavuja, uchumi utasambaratika, utawala utasambaratika!
Source: clouds FM saa 12 jioni leo
Huyu Babu anadhani watu bado wanaishi enzi zile za Nyerere ambazo ni Nyerere tuu mwenye kuona News kwenye TV na kujua nini kinaendela nje ya nchi na kupima upepo kujua nini kina weza tokea hata hapa TZ kwa jinzi hali halizi inavyo kwenda duniani na kesho yake kutuma speech na Wadanganyika kubai midomo wazi kushangaa kwamba Nyerere aliyasema yote yanatokea?
Kwa hali hii una weza hata wewe ukatabiri kua mabonu yatalipuka tena ,kambi ya Lugalo , huitaji hata jini kujua hilo.