Ametabiri Leo kwamba kutakuwa na machafuko makubwa tz, siri za serikali zitavuja, uchumi utasambaratika, utawala utasambaratika!
Source: clouds FM saa 12 jioni leo
Ahaaaa ahaaaa unafikiri yeye haogopi kifo l.o.lAjitabirie mwenyewe siku yake ya kufa asitabiri siku ya kufa watanzania. Imani potofu.
Sure he must die in pieces.crazy prophet, die in piece
Ametabiri Leo kwamba kutakuwa na machafuko makubwa tz, siri za serikali zitavuja, uchumi utasambaratika, utawala utasambaratika!
Source: clouds FM saa 12 jioni leo
hawa jamaa wanaongoza hii nchi kipagani sana...siku zao ni 40 tu watalia na kusaga menoAmefulia mbaya huyu jamaa na hakika siku zake zinahesabika si ndio mlinzi wa jk ngoja afe na jk wake amfuate kwani atakuwa hana ulinzi mtu gani anakubali kulindwa na mchawi utafikiri enzi za kina farao duhhh
they are all devil pamoja na wafuasi wake..Imeshajulikana Huya anayejiita Shekhe ni mwongo wa kutupa. Anataka kufanya watu waishi kwa Hofu. Mbona alitabiri atakaye pambana na kikwete atakufa, mbona hakuna aliyekufa hadi sasa. Ilishasemwa tena na Shibuda, kwamba nchi hii haiongozwi na Maruhani. Habari hizi akawaambie hao wanaoongoza kwa utabiri wake. Hawezi kutisha watu. Na akome kabisa.
wewe usituletee mashetani hapa,
hatuna mda wa kuamini upuuzi
njoo na facts sio upupu
huyu si ndio alisema hakutakuwa na uchaguzi?
watu wengine bwana, kwanza angekuwa nchi zingine angelikwisha uliwa zamani