Kutapeliwa

Kutapeliwa

hao hao walio sajili ndio watakamatwa, na hao ndio watawataja tu...
Shida unakuta kadi iliyotumika kusajilia siyo yake. Hawa wasajili laini ukienda kusajili wanafanya janjajanja wantumia kitambulisho chako kusajili laini 3 baadae wanaziuza
 
Pole sana mkuu ni juzi tu km wiki tena tapeli huyo kaona bidhaa humu JF nilipost uzi huu
hapaComputer4Sale - HP probook 8 GB ram laptop inauzwa bei poa
nauza laptop akataka nikutane na jamaa yake SINZA KIJIWENI yeye yupo mkoani ARUSHA
Hivyo kwa uzi wako sasa nimeelewa nini kilitaka kunitokea na kipi kilichoniokoa
Akasema anatuma pesa toka bank akang'ang'ania sana Atume aitel 7bu alijua me sina laini hiyo sikutaka mabishano sana fresh nikamtumia namba ya jamaa yangu baada kufanya miamala akasema ishatumwa fresh
Kumuuliza jamaa yangu kasema imeingia pesa toka NMB 255000/=
sasa mm huwa na kawaida 1 nikifanya biashara mtandaoni na mtu hata kama tupo pamoja ukinitumia pesa km malipo hiyo pesa papo hapo kabla sijakukabidhi mali nami lazima niamishe kwenye namba nyingne tena huu utaratibu nautumia miaka mingi sana kabla hata huu utaratibu wa kutuma mitandao mingne haujaanza

nikamuambia jamaa yangu nitumie hiyo pesa kwenye namba yangu jamaa akituma anaambiwa salio halitoshi kila akipunguza wapi ikabidi acheck salio akakuta ipo pesa yake tu haijaongezeka
Nikamuambia pesa huyu jamaa ambaye anakagua mzigo nimkabidhi yeye amtumie jamaa yake pesa haijaingia kwenye AIRTEL MONAYE

Akampigia jamaa yake wakaongea kisha akanigeukia akaniambia jamaa katuma pesa ila NMB wameuishikilia hivyo hiyo Biashara tutafanya kesho atanitumia mm nitakupa CASH akadai km itaingia nimjulishe pia nifanye uungwana
Nikasema poa lkn hiyo kesho mpk sasa wiki na nusu hawajanitafuta na namba zao hazipatikani wote
Aisee hawa jamaa wanabadili mbinu za kuiba kila leo...Asante kwakututoa tongotongo
 
Pole sana mkuu ni juzi tu km wiki tena tapeli huyo kaona bidhaa humu JF nilipost uzi huu
hapaComputer4Sale - HP probook 8 GB ram laptop inauzwa bei poa
nauza laptop akataka nikutane na jamaa yake SINZA KIJIWENI yeye yupo mkoani ARUSHA
Hivyo kwa uzi wako sasa nimeelewa nini kilitaka kunitokea na kipi kilichoniokoa
Akasema anatuma pesa toka bank akang'ang'ania sana Atume aitel 7bu alijua me sina laini hiyo sikutaka mabishano sana fresh nikamtumia namba ya jamaa yangu baada kufanya miamala akasema ishatumwa fresh
Kumuuliza jamaa yangu kasema imeingia pesa toka NMB 255000/=
sasa mm huwa na kawaida 1 nikifanya biashara mtandaoni na mtu hata kama tupo pamoja ukinitumia pesa km malipo hiyo pesa papo hapo kabla sijakukabidhi mali nami lazima niamishe kwenye namba nyingne tena huu utaratibu nautumia miaka mingi sana kabla hata huu utaratibu wa kutuma mitandao mingne haujaanza

nikamuambia jamaa yangu nitumie hiyo pesa kwenye namba yangu jamaa akituma anaambiwa salio halitoshi kila akipunguza wapi ikabidi acheck salio akakuta ipo pesa yake tu haijaongezeka
Nikamuambia pesa huyu jamaa ambaye anakagua mzigo nimkabidhi yeye amtumie jamaa yake pesa haijaingia kwenye AIRTEL MONAYE

Akampigia jamaa yake wakaongea kisha akanigeukia akaniambia jamaa katuma pesa ila NMB wameuishikilia hivyo hiyo Biashara tutafanya kesho atanitumia mm nitakupa CASH akadai km itaingia nimjulishe pia nifanye uungwana
Nikasema poa lkn hiyo kesho mpk sasa wiki na nusu hawajanitafuta na namba zao hazipatikani wote
Hiyo mbinu yako ndiyo muarobaini wa hao washenzi!

Pia usipokuwa makini kama ulivyofanya wewe, kuna mbinu nyingine ya kutuma na kublock!

Pesa inaweza ikaingia muda huo, ukiangalia salio linasoma, kimbembe kinakuja kwenye kutoa ama kuhamisha!

Ingawa mbinu hii ni rahisi ku follow up, lakini wezi hawajali kujivisha mabomu.
 
Moja ya sehemu akili inapaswa kua sharp ni kwa wafanya biashara mambo ya online business haya yanaliza watu. Mambo ya online business haya bana, bahat mbaya tz yetu hatujajikita kwatech. Hivyo tunapigwa kirahisi sana.

Ukienda polisi process ndefu kiasi cha kupoteza pesa nyingi na muda pia.

Pole mkuu sana, sioni ukitapelewa tena.
Muamini binadamu akiwa nje ya pesa.
 
Wala simumunyi maneno

Wewe jamaa Huna Akili sawasawa. Unafanya biashara halafu unapangiwa pesa yako itumwe kwa namba fulani!? Mfanyabiashara hata siku moja hamuogopi Mteja wake. Pumbavu kabisa
 
Hao wanakwambia uende Cyber crime, sijui uende polisi nikushauri tu wewe endelea na shughuli zako ushaliwa hivyo. Siku hizi laini zinauzwa kama pipi, haina cha kutia dole gumba wala namba yako ya Nida. Mjini shule
 
mjini shule
Pole sana mkuu ni juzi tu km wiki tena tapeli huyo kaona bidhaa humu JF nilipost uzi huu
hapaComputer4Sale - HP probook 8 GB ram laptop inauzwa bei poa
nauza laptop akataka nikutane na jamaa yake SINZA KIJIWENI yeye yupo mkoani ARUSHA
Hivyo kwa uzi wako sasa nimeelewa nini kilitaka kunitokea na kipi kilichoniokoa
Akasema anatuma pesa toka bank akang'ang'ania sana Atume aitel 7bu alijua me sina laini hiyo sikutaka mabishano sana fresh nikamtumia namba ya jamaa yangu baada kufanya miamala akasema ishatumwa fresh
Kumuuliza jamaa yangu kasema imeingia pesa toka NMB 255000/=
sasa mm huwa na kawaida 1 nikifanya biashara mtandaoni na mtu hata kama tupo pamoja ukinitumia pesa km malipo hiyo pesa papo hapo kabla sijakukabidhi mali nami lazima niamishe kwenye namba nyingne tena huu utaratibu nautumia miaka mingi sana kabla hata huu utaratibu wa kutuma mitandao mingne haujaanza

nikamuambia jamaa yangu nitumie hiyo pesa kwenye namba yangu jamaa akituma anaambiwa salio halitoshi kila akipunguza wapi ikabidi acheck salio akakuta ipo pesa yake tu haijaongezeka
Nikamuambia pesa huyu jamaa ambaye anakagua mzigo nimkabidhi yeye amtumie jamaa yake pesa haijaingia kwenye AIRTEL MONAYE

Akampigia jamaa yake wakaongea kisha akanigeukia akaniambia jamaa katuma pesa ila NMB wameuishikilia hivyo hiyo Biashara tutafanya kesho atanitumia mm nitakupa CASH akadai km itaingia nimjulishe pia nifanye uungwana
Nikasema poa lkn hiyo kesho mpk sasa wiki na nusu hawajanitafuta na namba zao hazipatikani wote
 
Huwa nikifanya biashara na mtu nisiyemjua ,huwa nataka cash mkononi ,ikishindikana akitumia muamala basi nahakikisha nauhamisha hapo hapo ili tukiachana akitaka kuhamisha iwe hola. lkn kitendo cha kuuwacha kwenye simu anaweza urudisha kwake
 
Wakuu habari yenu, jana kuna kitu nlimuuzia jamaa fulani hv. Yeye alisema yuko mkoani, so ikabidi tufanye arrangements ili tukutane na ndugu yake alieko Dar uko, ili nimpe mzigo wake.

Baada ya yule ndugu yake kuuona na kuridhika, ikabidi ampigie mteja wangu kwamba mzigo uko vizuri. Nikawa nimeongea nae akasema atanitumia kwenye number ya airtel iko kiasi tulichokua tumekubaliana. Kwa kua mimi sina number ya airtel ikabidi nimwambie rafiki yangu kuwa kuna muamala utatumiwa kwenye simu yake maana yeye ana line ya airtel.

Basi, kama baada ya dakika nane yule rafiki yangu anaetumia line ya Airtel akanambia ameona pesa imeingia kutokea NMB. Mimi nikasema sawa, nikamkabidhi yule ndugu yake mzigo tukaachama pale.

Ile message inaonekana imetokea NMB, kwamba katumia huduma ile ya benki mkononi kunitumia hela. Basi, kwa kua ilikua ni jioni sana hata mabenki yalikua yamefungwa nikasema asubuhi ya leo nitawahi bank nikaihangaikie. Cha ajabu nafika bank wananiambia hakuna muamala wa dzain hiyo kwa benki yao. Sikukata tamaa ikabidi niwacheki pia kwa mitandao yao ya kijamii (instagram) ila majibu yakawa ni yale yale.

Mteja wangu nliefanya naye biashara, wakati niko bank nilikuwa najaribu kumpigia ila hakupatikana, ila dakika 20 kabla ya kuanza kuandika huu uzi nlijaribu kumpigia akasema ngoja amcheki wakala ambae alimtumia kunitumia hiyo hela. Ndo niko namskilizia hapa.

Naombeni ushauri kama kuna mtu anaweza kuwa na idea na hiki kitu au anaeweza kuwa na wazo lingine anisaidie wakubwa.

Natanguliza shukrani.

View attachment 1488552View attachment 1488553
Matapeli wamekua wengi mjini kuna huyu nae ni tapeli,anajitangaza kua anauza vifaa vya electronics Instagram,kumbe ni tapeli,jihadharini nae kaliza watu wengi sana mjini.
Matapeli washughulikiwe wamezidi sasa
 

Attachments

  • Screenshot_20200626-135738_Instagram.jpg
    Screenshot_20200626-135738_Instagram.jpg
    86.5 KB · Views: 7
Ila me sijaelewa hii..mbn mitandao yote inaingiliana? Yaan Sasa hv hakuna masuala ya kuulizana una voda? Si unatuma tu kwaoption ya "mitandao mingine"
Mitandao yote inaingiliana, tatizo linakuja unapotaka kureverse muamala ukiokosea mitandao inagoma, hapo ndipo Pana shida sana.
 
Ni jambo zuri kama utafuatilia kuliko kusema ''haikuwa riziki'' na kukata tamaa. Ila hata huko polisi uwe makini usije ukapoteza fedha zaidi na usipate chochote. Hawa matapeli wanakuwa wamejipanga sana na hizo namba wanazotumia nyingi zinakuwa na usajili fake. Usikubali kuwapa polisi fedha kiasi kikubwa. Na zaidi usikubali kwenda mganga wa kienyeji yeyote kama watu wanavyokushauri kwani huko nako ni matapeli tu.
Wapo waganga wa kweli, Kama huwajui sema usaidiwe, hachukui. Hela yako mpaka suala lako lifanikiwe. Ndiyo utaenda kumshukuru wewe mwenyewe
 
Hiyo ishawahi nitokea Maeneo ya Kimara(Dar) .
Mchezo ulikuwa kama ifuatavyo.

Nimepewa mzigo toka zenji niufikishe kwa muhusika alouagiza. Mzigo ulikuwa unadhamani ya laki 7 na nikifika anipatie hiyo hela.

Muhusika alilalamika yuko bize muda wa mchana hivyo anaomba tukutane mida ya sa moja na nusu (Hiyo sa moja na nusu nilikuja elewa maana yake badae).
Muda ulipofika bado akachelewa akafika sa 2 . Alikuja na boda boda sehemu aliposema anikute na makubaliano ni kwamba anataka anitumie hiyo hela kupitia NMB maana nikatoe mimi kwani ataweka hadi ya kutolea.
Wasiwasi ukanijaa pia body language yake nilimuona sio mzuri(Kwenye kumsoma mtu nashukuru Mungu ninakipawa cha juu sana) . Nikaitikizia, akatuma hiyo hela tena sio yeye alidai mke wake ndo ataituma ,akampigia kweli mwanamke pale pale nikimskia baada ya dakika 2 nikaona msg imekuja kwangu kutoka NMB kwani alimpa namba zangu . Kilichonihakikishia kuwa sio hela ni hiyo NUKTA ambayo hata wadau wameisema ,Pia msg hiyo ilikuwa inakubali sehem pa ku reply(Navyofaham msg za huduma kubwa nyingi haziruhusu hilo)

Baada ya kuona haufu ya utapeli nilimwambia twende Kimara stendi pale hatuwezi kosa mawakala wakubwa wa ki benk tutoe hiyo hela.
Akadai. Akadai ana haraka ndo maana amekuja na bodaboda wa kukodisha.
Niligoma kataka kata . Na kuna muda nilipanick nika mwambia sababu ya mimi kukataa ni kwamba hii sio hela ila ni msg ili kuondoa huu utata twende tukaitoe wote nikupe mzigo wako.
Akasema kwa vile mimi simuamini basi ngoja anamwambia mkewe aombe wairudishe alafu kesho ataniletea cash. Niliitikia maana niliona nikupotezana Muda . Na baada ya hapo K namba yake haikupatikana ten ndo ikawa pona ya huo mzigo.

HAPO MTOA MADA NI USHATAPELIWA MAANA NILISHAKUMBANA NAYO HII
Umetoa Elimu Nzuri Mkuu.
 
Hiyo huduma ya Jamaa ambayo kimsingi ni kama geresha ina shabihina na huduma ya "NMB CARDLESS" ambapo pesa unaenda kutoa moja kwa moja toka ATM kwa kuingiza namba ya aliyekutumia, hizo code kisha kiasi.

Sasa hatari yake, kama huo muamala uko valid, watu wameshachomoa pesa, maana Jamaa ka expose kila kitu..
Mfumo huu huwa hawatumi pin code zote kwako, zingine zinabaki kwa aliyekutumia hela ukifika ATM ndipo anakupatia zilizotumwa kwake mtumaji. Hapa nazungumzia kwa Uzoefu wa CRDB.
 
Huu mchezo umeanzia kwenye kampuni ya mtandao wa simu. Kwann

Kuna uwezekani mkubwa kabisa aidha jamaa akawa mmoja wa it wa airtel au ana mtu wake pale ndio maana akaprefer iwe airtel na si vinginevyo.

Meseji imekuja na jina kabisa, means imesajiliwa kikamilifu kama special number, kwahiyo airtel wameiruhusu ipite kwenye server zao kwluwa hawajaitilia shaka hata kidogo na ndio maana wakaongeza na kinukta ili isifanane na NMB wenyewe. Kwenye system haya mambo yapo. Kwawale mliomiliki simu za nokia haikuruhusiwa kutumia jina moja mara mbili, lazima uongeze herufu,namba au alama ili kuitofautisha. Sauti inatosha au niongeze? Wewe anzia tcra wana data zote maana wanahusika katika zoezi la usajili wa namba maalum (mfano, *150*00# n.k)
 
Mfumo huu huwa hawatumi pin code zote kwako, zingine zinabaki kwa aliyekutumia hela ukifika ATM ndipo anakupatia zilizotumwa kwake mtumaji. Hapa nazungumzia kwa Uzoefu wa CRDB.
Kisichotumwa kwako ni namba ya simu ya aliyekutumia tuu...
 
Back
Top Bottom