Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,650
mtu anatapeliwa nyumba kivipi?Sio ujinga hizo mambo zinatokea sana watu wanatapeliwa nyumba na mashamba sembuse milioni 1.
mtu anatapeliwa nyumba kivipi?Sio ujinga hizo mambo zinatokea sana watu wanatapeliwa nyumba na mashamba sembuse milioni 1.
Nitumie Hyo screenshot kwa wasap 0683226931.Wakuu habari yenu, jana kuna kitu nlimuuzia jamaa fulani hv. Yeye alisema yuko mkoani, so ikabidi tufanye arrangements ili tukutane na ndugu yake alieko Dar uko, ili nimpe mzigo wake.
Baada ya yule ndugu yake kuuona na kuridhika, ikabidi ampigie mteja wangu kwamba mzigo uko vizuri. Nikawa nimeongea nae akasema atanitumia kwenye number ya airtel iko kiasi tulichokua tumekubaliana. Kwa kua mimi sina number ya airtel ikabidi nimwambie rafiki yangu kuwa kuna muamala utatumiwa kwenye simu yake maana yeye ana line ya airtel.
Basi, kama baada ya dakika nane yule rafiki yangu anaetumia line ya Airtel akanambia ameona pesa imeingia kutokea NMB. Mimi nikasema sawa, nikamkabidhi yule ndugu yake mzigo tukaachama pale.
Ile message inaonekana imetokea NMB, kwamba katumia huduma ile ya benki mkononi kunitumia hela. Basi, kwa kua ilikua ni jioni sana hata mabenki yalikua yamefungwa nikasema asubuhi ya leo nitawahi bank nikaihangaikie. Cha ajabu nafika bank wananiambia hakuna muamala wa dzain hiyo kwa benki yao. Sikukata tamaa ikabidi niwacheki pia kwa mitandao yao ya kijamii (instagram) ila majibu yakawa ni yale yale.
Mteja wangu nliefanya naye biashara, wakati niko bank nilikuwa najaribu kumpigia ila hakupatikana, ila dakika 20 kabla ya kuanza kuandika huu uzi nlijaribu kumpigia akasema ngoja amcheki wakala ambae alimtumia kunitumia hiyo hela. Ndo niko namskilizia hapa.
Naombeni ushauri kama kuna mtu anaweza kuwa na idea na hiki kitu au anaeweza kuwa na wazo lingine anisaidie wakubwa.
Natanguliza shukrani.
View attachment 1488552View attachment 1488553
ulipigwa kwa mtindo huu huu kama wa mtoa maada?Mkuu pole sana umeshapigwa hela hapo,daah nilipigwa lake 3,nikaona nyingi kwa mtindo huo kumbe kuna watu wanapigwa mpk milioni.kua makini siku nyingine mkuu. Matapeli mjini ni wengi na husiamini mtu siku hizi
Mkuu swali ambalo najiuliza kama alikuwa anahamisha pesa kutoka Nmb kuja kwako kwa nini alitaka kutumia zaidi Airtel wakati kuna mitandao mingine ambayo nadhani lazima unayo labda kama huna simu kabisaThank you ndugu... what would you advise me to do. Nifanye go-ahead gani?
vipi umeshawahi kupigwa nini?Mkuu pole hapo umepigwa. Wametumia bulk SMS na kwenye jina la sender wameweka (NMB.)
Next time hakikisha salio linasoma ndo utoe bidhaa. Yaani kufanya hivyo naandika script ya mistari michache sana ya Python + Bulk SMS API yoyote faster kitu kinatumwa
Kwani kutumiwa kwenye ac hadi mtu aende bank? Si anatumia sim banking!!Asante kwa kutambua ujinga wanguKuhusu kumpa account, Soma vizuri tena boss. Ilikua jioni, so banks pia zilikua zishafungwa. Na pia nisingekubali aje akanitumie labda kesho yake. Ingekua ngumu ndugu yangu
Hiyo huduma ya Jamaa ambayo kimsingi ni kama geresha ina shabihina na huduma ya "NMB CARDLESS" ambapo pesa unaenda kutoa moja kwa moja toka ATM kwa kuingiza namba ya aliyekutumia, hizo code kisha kiasi.Yaani akutumie pesa kwenye namba ya simu ila pesa ukachukulie bank!!! Kuna huduma ya hivyo kweli?
Pole we!
Asante ndugu, Na mimi pia ndo wasiwasi wangu ukianzia hapo. Nilijaribu kuangalia hata message za tigo pesa ila sikuona hiyo nukta kwa mbele. Ikaniongezea mashaka zaidi
Ngoja nikusaidie kidogo ndugu yangu..
Kuna kampuni nyingi sana zikiwemo za nje ya nchi zina huduma ya bulk sms.
Mimi pia nina hiyo huduma, hichi nikwambiacho ndicho...
Kilichofanyika, huyo Jamaa ana hiyo huduma, sasa hizo huduma zina option ya kusajili sender name kwa namba uitakayo.
Mitandao mingi wapo very restricted kwenye usajili wa sender name, isipokuwa Airtel pekee.. hata mimi nime sajili sender name ya business name yangu via Airtel.
So, huyu jamaa na yeye amesajili sender name kwa kutumia namba ya Airtel. Ili kuepusha mfanano na NMB original, ameamua kuongeza hiyo nukta hapo.
Nahisi umepata picha ninu kimetokea..
Kila kukicha wajinga wanazaliwa.
............pesa ndefu kama hiyo kwanini hukumpa akaunti namba akadeposit huko?
Braza hamna ujinga hapo...hiyo sms ukikutana nayo mara ya kwanza lazima uingiee mkenge.Kila kukicha wajinga wanazaliwa.
............pesa ndefu kama hiyo kwanini hukumpa akaunti namba akadeposit huko?
Oooh!! Kumbe kuna huduma ya hivyo!Hiyo huduma ya Jamaa ambayo kimsingi ni kama geresha ina shabihina na huduma ya "NMB CARDLESS" ambapo pesa unaenda kutoa moja kwa moja toka ATM kwa kuingiza namba ya aliyekutumia, hizo code kisha kiasi.
Sasa hatari yake, kama huo muamala uko valid, watu wameshachomoa pesa, maana Jamaa ka expose kila kitu..