kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,678
- 12,094
Mkuu matapeli wamezidi kua wajanja mimi nilipigwa laki 3 tu,nikaona ni kama milioni 3 hiv,kumbe watu wanapigwa vibunda virefu hivi.yaani tapeli wakikamatwa saiv nao sio wakuwaonea huruma.wanaliza watu na kuvuruga mipango kabisa na kama ni biashara wanakuingizia loss kubwa sana.Polee we,na karibu ndani ya club ya wahanga wa MITANDAONI. Juzi nilileta uzi wa kujinjwa pesa kupitia tigo pesa wachangiaji wakaninanga saana. Jàmani haya mambo yanaweza kukutokea ukabaki unashangaa hasa baada ya kuibiwa. Pole tena Jamaa yangu.