Pmj mtumish ntakuja hapoHahaha. Ukiandika habari za Kristo sio tu unahubiria wengine bali unajihubiria binafsi pia.
Jamani jamani. HahahahahUna mabusara hadi unaboa yaani.
Hautaki sasa?Jamani jamani. Hahahahah
Hapatakuwa na mvua kweli?cute b vipi hii?? Hatuendi??
Hili ni tukio jema, tutaomba na mvua itangoja kwanzaHapatakuwa na mvua kweli?
Tutaenda, andaa sadaka yangu na yako.
Amen Amen.Hili ni tukio jema, tutaomba na mvua itangoja kwanza
usiku wa ngono huo,kwanini wasifanye mchana wanakwama wapiWakuu,
Vijana ndio nguvu ya nchi na tegemeo kusukuma maendeleo ya nchi kuanzia ngazi ya familia. Taifa lenye vijana wacha Mungu kikamilifu litajengwa kwenye misingi bora na kuepuka maovu mengi.
Umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki umeandaa Usiku wa Sifa ijumaa hii pale uwanja wa Taifa ambao vijana kutoka vyuo vyetu vyote watakutana kumsifu Mungu na kupata mahubiri kutoka kwa Mwl Dr Arbogast Kanuti na Askofu mkuu mstaafu Mhashamu Josephat Lebulu.
Usiku huu umeandaliwa na umoja wa vyuo kwaajili ya watu wote kutoka dini zote na si wanachuo pekee.
Kwaya zitazohudumu ni Lord's grace praise team, Ebenezer praise and worship team, kwaya ya shirikisho TMCS Dar Zone na Dona Jr.
Theme; Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu 1 Yohana 2:14
Usafiri kutoka na kurudi utakuwepo vyuo vyote. Maelezo zaidi piga 0719 131013
View attachment 1102704