KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi na Asprin, Kaizer,Jopo la wanasheria nguli wa JF wakiongozwa na Dark City tunakusudia kuwapeleka mahakamani hawa watu kwa kosa la kutuchafulia majina yetu na kutuita mabazazi hii ni kutotundea haki hapa katika majukwaa ya JF na kinatufanya tuonekani watu tofauti na wengine!1Kitukinachotufanya tukoswe hakizetu!!nakutusababisha tunyimwe flusa
na wana JF!!.Sasa mwenye pingamizi dhidi ya haya malalamiko niliyo yatoa tafadhali anaombwa atoe pingamizi lake ndani ya masaa 24 yajayo awe ameisha wasilisha pingamizi lake!,vinginevyo hawatapata flusa yakuingia JF Party hivyo na kuwafanya JF party kuisikia kwenye bomba.
Wwatu hao na wataja...!
Hao nilio wataja inabidi wawasilishe maelezo kwa mwana sheria wa JF kwanini wasishitakiwe au kufukuzwa uanachama au yote mawili au kukosa flusa ya kuingia JF Party kwa kosa lakutuita sisi mabazazi wa JF??!!
Nawasilisha mimi mlalamikaji na jopo zima la wanasheria wa JF.
CC,
NB:
Kamakuna mtu mwingine aliathirika kwanjia moja au nyingine na hawa watu tafadhali peleka kwa mwanasheria wetu wa JF Mh Dark City.
na wana JF!!.Sasa mwenye pingamizi dhidi ya haya malalamiko niliyo yatoa tafadhali anaombwa atoe pingamizi lake ndani ya masaa 24 yajayo awe ameisha wasilisha pingamizi lake!,vinginevyo hawatapata flusa yakuingia JF Party hivyo na kuwafanya JF party kuisikia kwenye bomba.
Wwatu hao na wataja...!
Hao nilio wataja inabidi wawasilishe maelezo kwa mwana sheria wa JF kwanini wasishitakiwe au kufukuzwa uanachama au yote mawili au kukosa flusa ya kuingia JF Party kwa kosa lakutuita sisi mabazazi wa JF??!!
Nawasilisha mimi mlalamikaji na jopo zima la wanasheria wa JF.
CC,
- Mkuu wa Mkoa wa JF Invisible
- Mwanasheria wa JF Dark City
- Mkuu wa itifaki JF Mtambuzi
- Naibu Itifaki JF lara 1
- International observer The Boss
- Mzee wa baraza Jiwe Linaloishi
NB:
Kamakuna mtu mwingine aliathirika kwanjia moja au nyingine na hawa watu tafadhali peleka kwa mwanasheria wetu wa JF Mh Dark City.
Last edited by a moderator: