Kwenye ndoa yangu na Heaven on Earth sina ushirika na mtu....
PM mod nilimuomba siku nyingi sana Invisible ila hajanijibu mpaka sasa......kuna dalili za nepotism here na wewe ukatumia nafasi hiyo kuwa namba moja kwenye bazazism...
asee haraka hizi maana hli jambo ni zito mkuuMkuu jamaa watakukopy makosa hapo kwenye red sijakusoma tusije kuwapa point must be carefully
Sharing mean caring usi-panic brother!:A S wink::A S wink::A S wink:
Hapo watu8 na mentor naomba wapewe nafasi ya kujitetea maaana ndo wanogesha party pleaseeeeeeeee
Kwani uongo?
Aisee kweli bana....mimi.nikiwa.mlalamikaji.namba 3....lol ila mkuu KakaKiiza huyu Vin Diesel na yeye amelalamika kuchafuliwa na kunyimwa fursa hebu.muweke apo juu
Asprin aione tafadhali
Ila on the other hand tumekuwa.macelebrity eti? Tutafunika.mbaya kwen party hakyamama
Watu weweeeeeeeeeeeee miss neddy una heineken moja kutoka kwangu!!!!
Naunga mkono hoja!!!Mimi na Asprin, Kaizer,Jopo la wanasheria nguli wa JF wakiongozwa na Dark City tunakusudia kuwapeleka mahakamani hawa watu kwa kosa la kutuchafulia majina yetu na kutuita mabazazi hii ni kutotundea haki hapa katika majukwaa ya JF na kinatufanya tuonekani watu tofauti na wengine!1Kitukinachotufanya tukoswe hakizetu!!nakutusababisha tunyimwe flusa
na wana JF!!.Sasa mwenye pingamizi dhidi ya haya malalamiko niliyo yatoa tafadhali anaombwa atoe pingamizi lake ndani ya masaa 24 yajayo awe ameisha wasilisha pingamizi lake!,vinginevyo hawatapata flusa yakuingia JF Party hivyo na kuwafanya JF party kuisikia kwenye bomba.
Wwatu hao na wataja...!
Hao nilio wataja inabidi wawasilishe maelezo kwa mwana sheria wa JF kwanini wasishitakiwe au kufukuzwa uanachama au yote mawili au kukosa flusa ya kuingia JF Party kwa kosa lakutuita sisi mabazazi wa JF??!!
Nawasilisha mimi mlalamikaji na jopo zima la wanasheria wa JF.
CC,
- Mkuu wa Mkoa wa JF Invisible
- Mwanasheria wa JF Dark City
- Mkuu wa itifaki JF Mtambuzi
- Naibu Itifaki JF lara 1
- International observer The Boss
- Mzee wa baraza Jiwe Linaloishi
NB:
Kamakuna mtu mwingine aliathirika kwanjia moja au nyingine na hawa watu tafadhali peleka kwa mwanasheria wetu wa JF Mh Dark City.
Yesu Kristo wa Nazareti!!!!Kwani uongo?
OMG!!!!wote waliotajwa hapo wanastahili japo nadhani kuna haja ya kuboresha list.....mapendekezo tafadhali
Hommie, hao ndio wenye kukaanga mbuyu.....wanatuachia meno tutafune.Aisee kweli bana....mimi.nikiwa.mlalamikaji.namba 3....lol ila mkuu KakaKiiza huyu Vin Diesel na yeye amelalamika kuchafuliwa na kunyimwa fursa hebu.muweke apo juu
Asprin aione tafadhali
Ila on the other hand tumekuwa.macelebrity eti? Tutafunika.mbaya kwen party hakyamama
Mentor, mke wetu ametekwa..... Hakyamama walahi amekwishapotea....Kwenye ndoa yangu na Heaven on Earth sina ushirika na mtu....
PM mod nilimuomba siku nyingi sana Invisible ila hajanijibu mpaka sasa......kuna dalili za nepotism here na wewe ukatumia nafasi hiyo kuwa namba moja kwenye bazazism...
Hapo watu8 na mentor naomba wapewe nafasi ya kujitetea maaana ndo wanogesha party pleaseeeeeeeee
situmiagi pombe only soda tu
Nakupa masaa 7 tu....mind you 7hrs, na siyo siku 7 kama za mzee wa Kiraracha.....
Otherwise.......
Babu DC!!