Habari wana Jf.
Waungwana naombeni ushauri wenu,nimemaliza degree ya kwanza,bado sijaajiriwa,natarajia kwenda chuo kwa postgraduate diploma,ila nawaza nisome fani ile ile ama nisome fani nyingine...,vp kwa wenye uzoefu na haya mambo,ipi itanisaidia ili niweze compete vizuri ktk soko la ajira?
Karibuni....
Waungwana naombeni ushauri wenu,nimemaliza degree ya kwanza,bado sijaajiriwa,natarajia kwenda chuo kwa postgraduate diploma,ila nawaza nisome fani ile ile ama nisome fani nyingine...,vp kwa wenye uzoefu na haya mambo,ipi itanisaidia ili niweze compete vizuri ktk soko la ajira?
Karibuni....