Johnson json
Member
- Aug 20, 2023
- 17
- 10
Naombeni ushauri wakuu.
Hivi ni vibaya kusoma vitu tofauti tofauti na maansha diploma unachukia kingine then degree unasoma kingine.
Nia yangu ni nimepangiwa kusoma mining engineer diploma DIT lakini nilikuwa nataka kuchukua mineral processing engineer lakini Sasa nikaona bora nichukie for now mining engineer diploma then degree nisome mineral processing engineer. Hapo itakaaje? Au Bora u specify kwa kitu kimoja mwanzo mwisho.
Hivi ni vibaya kusoma vitu tofauti tofauti na maansha diploma unachukia kingine then degree unasoma kingine.
Nia yangu ni nimepangiwa kusoma mining engineer diploma DIT lakini nilikuwa nataka kuchukua mineral processing engineer lakini Sasa nikaona bora nichukie for now mining engineer diploma then degree nisome mineral processing engineer. Hapo itakaaje? Au Bora u specify kwa kitu kimoja mwanzo mwisho.