Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Nlikubali kutoa tumizi kama support tu kwa mtu ninaemfaham ,lakn kumbe huruma yangu ya kutoa tumizi ndo inataka kuniangamiza aseeh, naombeni ushauri na mbinu ya kuliepuka hili swala linataka kunielemea .
Kukubali matumizi ndio kukubali mtoto. Mi Nakushauri uendele kutunza mkuu

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Hakuna DNA , hakuna mimba ya 6 month
Sizungumzii kuhusu suala la mimba. Nazungumzia suala la mtoto na matumizi.
Jamaa anatoa matumizi chini ya uangalizi wa ustawi wa jamii. Hii tayari yupo kwenye mikono ya sheria na hakuna njia zaidi ya kupima DNA. Akisema aache kutoa matumizi, mikono ya sheria inamtia mahakamani.
Jifunze kutatua matatizo kwa akili itakusaidia sana.
 
Sizungumzii kuhusu suala la mimba. Nazungumzia suala la mtoto na matumizi.
Jamaa anatoa matumizi chini ya uangalizi wa ustawi wa jamii. Hii tayari yupo kwenye mikono ya sheria na hakuna njia zaidi ya kupima DNA. Akisema aache kutoa matumizi, mikono ya sheria inamtia mahakamani.
Jifunze kutatua matatizo kwa akili itakusaidia sana.

Sheria haiwezi niweka mahakaman, ukwel naujua mim, tukipima DNA razima nishinde kesi
 
Naomba unisaidie mbinu jinsi ya kutegua huu mtego maana unaniumiza sana, na kipato changu hakiko sawa.
Kumbuka upo kwenye mikono ya sheria kwahiyo ili utegue huu mtego unabidi ufuate sheria.
Ukikimbia, utatafutwa na utakamatwa na kifungo au adhabu kali itachukua mkondo wake.
Ulipokosea ni kwenda ustawi wa jamii, ukakubaliana na ukaanza kutoa matumizi ya mtoto. Kwa maana kwamba tayari umekiri huyo mtoto ni wako
Tafuta mwanasheria, ongea naye ili ukapime DNA.
 
Kumbuka upo kwenye mikono ya sheria kwahiyo ili utegue huu mtego unabidi ufuate sheria.
Ukikimbia, utatafutwa na utakamatwa na kifungo au adhabu kali itachukua mkondo wake.
Ulipokosea ni kwenda ustawi wa jamii, ukakubaliana na ukaanza kutoa matumizi ya mtoto. Kwa maana kwamba tayari umekiri huyo mtoto ni wako
Tafuta mwanasheria, ongea naye ili ukapime DNA.

Thanks a lot my brother
 
Kumbuka upo kwenye mikono ya sheria kwahiyo ili utegue huu mtego unabidi ufuate sheria.
Ukikimbia, utatafutwa na utakamatwa na kifungo au adhabu kali itachukua mkondo wake.
Ulipokosea ni kwenda ustawi wa jamii, ukakubaliana na ukaanza kutoa matumizi ya mtoto. Kwa maana kwamba tayari umekiri huyo mtoto ni wako
Tafuta mwanasheria, ongea naye ili ukapime DNA.

Huu ushauri pia ni mzuri sana,
 
Kumbuka upo kwenye mikono ya sheria kwahiyo ili utegue huu mtego unabidi ufuate sheria.
Ukikimbia, utatafutwa na utakamatwa na kifungo au adhabu kali itachukua mkondo wake.
Ulipokosea ni kwenda ustawi wa jamii, ukakubaliana na ukaanza kutoa matumizi ya mtoto. Kwa maana kwamba tayari umekiri huyo mtoto ni wako
Tafuta mwanasheria, ongea naye ili ukapime DNA.

Wew ndo mtu unaeza nisaidia kimawazo na ushauri wako
 
Sheria haiwezi niweka mahakaman, ukwel naujua mim, tukipima DNA razima nishinde kesi
Haujanielewa vizuri. Ipo hivi
Umekubali kwenda ustawi wa jamii na ukaanza kutoa matumizi ya mtoto chini ya uangalizi wa ustawi wa jamii. Tafsri ni kwamba tayari huyo mtoto ni wako ndiyo maana umekubali kutoa matumizi ya mtoto.
Sheria haiwezi kukutia mahakamani kivipi kwa wakati upo chini ya sheria? Unajua mtoto siyo wako mbona unatoa hela ya matumizi? Ukiacha bila kufuata sheria lazima upelekwe mahakamani chini ya uangalizi wa ustawi wa jamii kwasababu haujamhudumia mtoto.
Tafuta mwanasheria au fuata sheria ili ukapime DNA. Ukisema utoroke labda uende mbali huko usijulikane ila wakikudaka lazima utagharamika kwasababu upo chini ya sheria.
Siyo wanaokwenda jela wote wahalifu, wengine wanakesi za kusingiziwa. Kuna watu wamefungwa na kesi ni za kusingiziwa
 
Wew ndo mtu unaeza nisaidia kimawazo na ushauri wako
Kabla ya kwenda kupima DNA, tafuta mwanasheria ili akusimamie kwenye zoezi hili. Huyo mwanamke na huyo mtu wa ustawi wa jamii lao ni moja kwahiyo rushwa inatembea. Na huko unapoenda kupima tafuta hospitali wewe mwenyewe ili rushwa isitembee.
 
Una umri gani?mbona unahitaji ushauri kwa issue ambayo ni simple sana,au umeamua kuanzisha uzi tu ili watu watoe mawazo yao..... nahisi siku hizi kuna tatizo la watu kufanya maamuzi bila ushauri
 
Katika pitapita zetu kwenye harakati za kumwagilia moyo, nikipita kwenye bar fulani nikawa nimemuelewa muhudumu mmoja, tukaelewana tukabadilishana namba, nikamuomba kulala naye usiku huo akakubali kwa mapatano ya kumlipa posho.

Muda ulipofika tukaenda kufanya yetu. Tulipofika chumbani alipovua, niliona dalili kama ana mimba maana alikua na tumbo kubwa na alikua anatema mate kila mala. Japokua nilikua na pombe kichwani lakini niliweza kutambua hilo.

Tumefanya yetu pakakucha, asubuhi nikampa chake kila mtu akaendelea na ratiba za maisha yake.
Baada ya miezi 6 iliingia namba mpya ikinipigia kwenye simu yangu, kupokea nikaskia sauti ya kike inaniuliza kuwa, “Lini utakuja kumuona mwanao?“

Nilipingwa na butwaa nikamuulize “Wewe ni nani?“ Akajitambulisha kiundani zaidi nikawa nimemkubuka, nikaamuliza, “Unataka nije kumuona mwanangu yupi?” Akasema hujui kama siku tupolala wote ulinipa mimba na tayari nimeshajifungua mtoto wa kike?

Nlistaajabu sana nikawa nimemkatalia kuwa mimi siwezi kuwa baba wa huyo mtoto maana hata siku hiyo tunalala wote ulikuwa una dalili zote za kuwa na mimba tayari, mawasliano yakawa yameishia hapo.

Baada ya week 1 tangu anipigie kuhusu taarifa ya kunibambikia mimba, ghafla nikapigiwa na namba Afisa Ustawi wa Jamii kuwa nahitajika ofisini. Nikaenda kusikiliza, nikahojiwa kama namfahamu huyo dada nikakubali kuwa namfahamu lakini nilipinga kuwa huyo mtoto sio wangu.

Afisa Ustawi akanishauri sana kuhusu matumizi madogo madogo ya mtoto nikakubari kuwa ntakuwa natuma pesa ya matumizi madogo madogo.

Kadri siku zinavyozidi kwenda naona kama inazidi kuwa kero, yule dada mhudumu wa bar anakuwa ananipigia mpaka saa 5 usiku, nikiwa nimelala anatuma mesej za ajabu, anakuja ofsini ninapofanyia kazi bila taarifa, yaani inakuwa ni vurugu.

Na nikiamuaria yule mtoto na muda tuliosex na mama yake na umri alionao yule mtoto ni tofauti kabisa, nahisi nimepigwa na kitu kizito kwasababu hata kusema kufanana hajafanana na mimi hata kidogo.

Naombeni ushauri wenu wana JF, nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo la huyu dada mhuni?
Unastahili kubambikiwa acha kusumbua watu kama akili zenyewe ndiyo hizo
 
Yan me nmesex nae, Ndan ya miezi sita mtoto amezaliwa na ameshakua , tulipokutana alijua nmelewa na nlkua najielewa kabsa japo yeye ndo alinihudumia bia na nlizilipia zote, tulipofika chumban alipovua nguo nlioa tumbo kubwa la mimba na kuna baadhi ya style alikua hawezi kukaa nikimgeuza anakua mvivu, naamini nimepigwa na kitu kizito. Nasubiri mwisho wa mwezi huu akipiga siku kuhusu kumtumia hela sipokei na simtumii pesa yoyote, liwalo na lile,
Na bado unaomba ushauri?. Au ni mimi nimepoteza uwezo wa kusoma na kukielewa kiswahili. Ushauri unaofaa una hitajika uwahi kufanya vipimo vya akili kabla ya DNA.
 
Katika pitapita zetu kwenye harakati za kumwagilia moyo, nikipita kwenye bar fulani nikawa nimemuelewa muhudumu mmoja, tukaelewana tukabadilishana namba, nikamuomba kulala naye usiku huo akakubali kwa mapatano ya kumlipa posho.

Muda ulipofika tukaenda kufanya yetu. Tulipofika chumbani alipovua, niliona dalili kama ana mimba maana alikua na tumbo kubwa na alikua anatema mate kila mala. Japokua nilikua na pombe kichwani lakini niliweza kutambua hilo.

Tumefanya yetu pakakucha, asubuhi nikampa chake kila mtu akaendelea na ratiba za maisha yake.
Baada ya miezi 6 iliingia namba mpya ikinipigia kwenye simu yangu, kupokea nikaskia sauti ya kike inaniuliza kuwa, “Lini utakuja kumuona mwanao?“

Nilipingwa na butwaa nikamuulize “Wewe ni nani?“ Akajitambulisha kiundani zaidi nikawa nimemkubuka, nikaamuliza, “Unataka nije kumuona mwanangu yupi?” Akasema hujui kama siku tupolala wote ulinipa mimba na tayari nimeshajifungua mtoto wa kike?

Nlistaajabu sana nikawa nimemkatalia kuwa mimi siwezi kuwa baba wa huyo mtoto maana hata siku hiyo tunalala wote ulikuwa una dalili zote za kuwa na mimba tayari, mawasliano yakawa yameishia hapo.

Baada ya week 1 tangu anipigie kuhusu taarifa ya kunibambikia mimba, ghafla nikapigiwa na namba Afisa Ustawi wa Jamii kuwa nahitajika ofisini. Nikaenda kusikiliza, nikahojiwa kama namfahamu huyo dada nikakubali kuwa namfahamu lakini nilipinga kuwa huyo mtoto sio wangu.

Afisa Ustawi akanishauri sana kuhusu matumizi madogo madogo ya mtoto nikakubari kuwa ntakuwa natuma pesa ya matumizi madogo madogo.

Kadri siku zinavyozidi kwenda naona kama inazidi kuwa kero, yule dada mhudumu wa bar anakuwa ananipigia mpaka saa 5 usiku, nikiwa nimelala anatuma mesej za ajabu, anakuja ofsini ninapofanyia kazi bila taarifa, yaani inakuwa ni vurugu.

Na nikiamuaria yule mtoto na muda tuliosex na mama yake na umri alionao yule mtoto ni tofauti kabisa, nahisi nimepigwa na kitu kizito kwasababu hata kusema kufanana hajafanana na mimi hata kidogo.

Naombeni ushauri wenu wana JF, nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo la huyu dada mhuni?
Kazi unayo
 
Yan me nmesex nae, Ndan ya miezi sita mtoto amezaliwa na ameshakua , tulipokutana alijua nmelewa na nlkua najielewa kabsa japo yeye ndo alinihudumia bia na nlizilipia zote, tulipofika chumban alipovua nguo nlioa tumbo kubwa la mimba na kuna baadhi ya style alikua hawezi kukaa nikimgeuza anakua mvivu, naamini nimepigwa na kitu kizito. Nasubiri mwisho wa mwezi huu akipiga siku kuhusu kumtumia hela sipokei na simtumii pesa yoyote, liwalo na lile,
malaya wa bar anakushinda akili?
 
Back
Top Bottom