Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Yan me nmesex nae, Ndan ya miezi sita mtoto amezaliwa na ameshakua , tulipokutana alijua nmelewa na nlkua najielewa kabsa japo yeye ndo alinihudumia bia na nlizilipia zote, tulipofika chumban alipovua nguo nlioa tumbo kubwa la mimba na kuna baadhi ya style alikua hawezi kukaa nikimgeuza anakua mvivu, naamini nimepigwa na kitu kizito. Nasubiri mwisho wa mwezi huu akipiga siku kuhusu kumtumia hela sipokei na simtumii pesa yoyote, liwalo na lile,
Wewe utakua mwanaume wa dar sio bure!! Huwezi kuwa kilaza namna hii
 
Na wewe upime dna ya nini wakati ushaambiwa tokea wakutane ni miezi 6? Umeona wapi mtoto anazaliwa baada ya miezi6?
Kijana hapo ishu ni uhakika

Mabishano hayataisha mwanamke atang’ang’ania kuwa mtoto ni wa jamaa

Jamaa atang’ang’ania mtoto ni wake

NB: Jamaa alilewa wakati wa tendo (kulewa ni kulewa tu weka akilini)
Huo MGOGORO hauhitaji negotiation, unahitaji Mediator

Na mediatior ni DNA

Sawa?
 
Kijana hapo ishu ni uhakika

Mabishano hayataisha mwanamke atang’ang’ania kuwa mtoto ni wa jamaa

Jamaa atang’ang’ania mtoto ni wake

NB: Jamaa alilewa wakati wa tendo (kulewa ni kulewa tu weka akilini)
Huo MGOGORO hauhitaji negotiation, unahitaji Mediator

Na mediatior ni DNA

Sawa?
Sio sawa!

Mkuu mtoto anazaliwa baada ya mieizi mingapi? 6?
 
Hao madem wa kuokoteza wasijue unakofanyia kazi aisee.. I mean hauko committed na mtu, why ajue vitu vingi kukuhusu?

Kwanza hata hawatakiwi kujua unapoishi.

Kama mlisex then after 6 month akwambie kajifungua, huyo mtoto ni njiti au?
Mama ushauri Depal nimekuelewa sana..!!
 
Umenunua K bado ukala mbichi. Hii nchi ndio maana bado tunaongozwa na CCM chama makini sana. Kama mpiga kura uko hv.
 
Umefanya series ya makosa
1.Kuuza mechi
2.ukamwagia ndani
3.Miezi 6 mtoto kazaliwa hukohoji ukakubali?
4.Ukashindwa kukaza uzi ulipoitwa ustawi wa jamii hapo hapo ungekaza uzi mkapime DNA
5.Ukakubali kuhudumia mtoto kwaiyo ndo kashakua mwanao tena.
Mwisho hongera kwakuwa baba wa kufikia unayetoa huduma kwa mtoto,pengine huyo kahaba anaishi na baba halali wa mtoto.
 
Jamaa alilewa!!

Hapa hupaswi kumuamini mama wala jamaa

Tunaamini kipimo

Nimebold hayo maneno ili uelewe maana ya kulewa

KULEWA KULEWA KULEWA!!


Sawa mkuu?
Kwa hiyo jamaa alilewa kiasi kwamba hakumbuki hata mwezi alio sex na huyo dem!?

Yani hata alipo amka (pombe ikiwa imeisha kichwani) hakujua kwamba jana alilala na mtu?

Na kama alijua iweje leo ashindwe kujua siku flani nilala na mtu?

Mkuu uko serious kweli?
 
Katika pitapita zetu kwenye harakati za kumwagilia moyo, nikipita kwenye bar fulani nikawa nimemuelewa muhudumu mmoja, tukaelewana tukabadilishana namba, nikamuomba kulala naye usiku huo akakubali kwa mapatano ya kumlipa posho.

Muda ulipofika tukaenda kufanya yetu. Tulipofika chumbani alipovua, niliona dalili kama ana mimba maana alikua na tumbo kubwa na alikua anatema mate kila mala. Japokua nilikua na pombe kichwani lakini niliweza kutambua hilo.

Tumefanya yetu pakakucha, asubuhi nikampa chake kila mtu akaendelea na ratiba za maisha yake.
Baada ya miezi 6 iliingia namba mpya ikinipigia kwenye simu yangu, kupokea nikaskia sauti ya kike inaniuliza kuwa, “Lini utakuja kumuona mwanao?“

Nilipingwa na butwaa nikamuulize “Wewe ni nani?“ Akajitambulisha kiundani zaidi nikawa nimemkubuka, nikaamuliza, “Unataka nije kumuona mwanangu yupi?” Akasema hujui kama siku tupolala wote ulinipa mimba na tayari nimeshajifungua mtoto wa kike?

Nlistaajabu sana nikawa nimemkatalia kuwa mimi siwezi kuwa baba wa huyo mtoto maana hata siku hiyo tunalala wote ulikuwa una dalili zote za kuwa na mimba tayari, mawasliano yakawa yameishia hapo.

Baada ya week 1 tangu anipigie kuhusu taarifa ya kunibambikia mimba, ghafla nikapigiwa na namba Afisa Ustawi wa Jamii kuwa nahitajika ofisini. Nikaenda kusikiliza, nikahojiwa kama namfahamu huyo dada nikakubali kuwa namfahamu lakini nilipinga kuwa huyo mtoto sio wangu.

Afisa Ustawi akanishauri sana kuhusu matumizi madogo madogo ya mtoto nikakubari kuwa ntakuwa natuma pesa ya matumizi madogo madogo.

Kadri siku zinavyozidi kwenda naona kama inazidi kuwa kero, yule dada mhudumu wa bar anakuwa ananipigia mpaka saa 5 usiku, nikiwa nimelala anatuma mesej za ajabu, anakuja ofsini ninapofanyia kazi bila taarifa, yaani inakuwa ni vurugu.

Na nikiamuaria yule mtoto na muda tuliosex na mama yake na umri alionao yule mtoto ni tofauti kabisa, nahisi nimepigwa na kitu kizito kwasababu hata kusema kufanana hajafanana na mimi hata kidogo.

Naombeni ushauri wenu wana JF, nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo la huyu dada mhuni?
yaani baada ya miezi sita tangu uzini naye tayari mtoto amezaliwa na ukakubali kutoa matumizi? vijana wa siku hizi akili zenu mmezipeleka wapi?
 
Umefanya series ya makosa
1.Kuuza mechi
2.ukamwagia ndani
3.Miezi 6 mtoto kazaliwa hukohoji ukakubali?
4.Ukashindwa kukaza uzi ulipoitwa ustawi wa jamii hapo hapo ungekaza uzi mkapime DNA
5.Ukakubali kuhudumia mtoto kwaiyo ndo kashakua mwanao tena.
Mwisho hongera kwakuwa baba wa kufikia unayetoa huduma kwa mtoto,pengine huyo kahaba anaishi na baba halali wa mtoto.
Huyu jamaa sijui ni mshamba wa wapi,?
 
yaani baada ya miezi sita tangu uzini naye tayari mtoto amezaliwa na ukakubali kutoa matumizi? vijana wa siku hizi akili zenu mmezipeleka wapi?
Huyu jamaa ni product ya watu wa hovyo hovyo kwenye hili taifa.
 
Back
Top Bottom