Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Kwa hiyo jamaa alilewa kiasi kwamba hakumbuki hata mwezi alio sex na huyo dem!?

Yani hata alipo amka (pombe ikiwa imeisha kichwani) hakujua kwamba jana alilala na mtu?

Na kama alijua iweje leo ashindwe kujua siku flani nilala na mtu?

Mkuu uko serious kweli?
Unaweza kuwa sahihi mkuu

Ila DNA ndiyo kipimo cha mwisho chenye uhakika
 
Sas na we mwanetu miez 6 unakubal kutoa tumiz, mimba si miez 9 kabsa, apo kweny kutoa tumiz labd kama ungempa tu kias cha kumsaidia na muachane ivo, ila swala la mtoto we halikuhus kabsa,

Umeyakanyaga mwanetu, ila bado una nafas ya kupindua meza issue iko waz ni ww ndo unacomplicate
 
Yan me nmesex nae, Ndan ya miezi sita mtoto amezaliwa na ameshakua , tulipokutana alijua nmelewa na nlkua najielewa kabsa japo yeye ndo alinihudumia bia na nlizilipia zote, tulipofika chumban alipovua nguo nlioa tumbo kubwa la mimba na kuna baadhi ya style alikua hawezi kukaa nikimgeuza anakua mvivu, naamini nimepigwa na kitu kizito. Nasubiri mwisho wa mwezi huu akipiga siku kuhusu kumtumia hela sipokei na simtumii pesa yoyote, liwalo na lile,
Unaonekana shoga mzee.

Halfu una nguvu za kiume .

Ndo maana unapalamia watoto wa kubambikiwa
 
Katika pitapita zetu kwenye harakati za kumwagilia moyo, nikipita kwenye bar fulani nikawa nimemuelewa muhudumu mmoja, tukaelewana tukabadilishana namba, nikamuomba kulala naye usiku huo akakubali kwa mapatano ya kumlipa posho.

Muda ulipofika tukaenda kufanya yetu. Tulipofika chumbani alipovua, niliona dalili kama ana mimba maana alikua na tumbo kubwa na alikua anatema mate kila mala. Japokua nilikua na pombe kichwani lakini niliweza kutambua hilo.

Tumefanya yetu pakakucha, asubuhi nikampa chake kila mtu akaendelea na ratiba za maisha yake.
Baada ya miezi 6 iliingia namba mpya ikinipigia kwenye simu yangu, kupokea nikaskia sauti ya kike inaniuliza kuwa, “Lini utakuja kumuona mwanao?“

Nilipingwa na butwaa nikamuulize “Wewe ni nani?“ Akajitambulisha kiundani zaidi nikawa nimemkubuka, nikaamuliza, “Unataka nije kumuona mwanangu yupi?” Akasema hujui kama siku tupolala wote ulinipa mimba na tayari nimeshajifungua mtoto wa kike?

Nlistaajabu sana nikawa nimemkatalia kuwa mimi siwezi kuwa baba wa huyo mtoto maana hata siku hiyo tunalala wote ulikuwa una dalili zote za kuwa na mimba tayari, mawasliano yakawa yameishia hapo.

Baada ya week 1 tangu anipigie kuhusu taarifa ya kunibambikia mimba, ghafla nikapigiwa na namba Afisa Ustawi wa Jamii kuwa nahitajika ofisini. Nikaenda kusikiliza, nikahojiwa kama namfahamu huyo dada nikakubali kuwa namfahamu lakini nilipinga kuwa huyo mtoto sio wangu.

Afisa Ustawi akanishauri sana kuhusu matumizi madogo madogo ya mtoto nikakubari kuwa ntakuwa natuma pesa ya matumizi madogo madogo.

Kadri siku zinavyozidi kwenda naona kama inazidi kuwa kero, yule dada mhudumu wa bar anakuwa ananipigia mpaka saa 5 usiku, nikiwa nimelala anatuma mesej za ajabu, anakuja ofsini ninapofanyia kazi bila taarifa, yaani inakuwa ni vurugu.

Na nikiamuaria yule mtoto na muda tuliosex na mama yake na umri alionao yule mtoto ni tofauti kabisa, nahisi nimepigwa na kitu kizito kwasababu hata kusema kufanana hajafanana na mimi hata kidogo.

Naombeni ushauri wenu wana JF, nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo la huyu dada mhuni?
Yaani wewe jamaa ni mzembe mno ila sorry kama utakasirika.
Uzembe wa kwanza ulioufanya umelala na malaya pekupeku bila kinga sijui ulijiamini nini.
Uzembe wa pili ulijua kabisa tangu umetembea naye imepita miezi 6 tu halafu umeitwa ustawi wa jamii unakubali kwamba utamgharamia wakati ulijua kabisa kwamba hesabu za miezi haziendani.
Baada ya kukubali kugharamia sasa hivi ndio unashtuka unataka upewe ushauri.
Maana sasa hivi mkirudi tena ustawi watakuuliza swali kama mtoto hakuhusu kwa nini ulipokuja mwanzo ulikubali kwamba utamgharamia?
 
Bila DNA huyo mwanamke atakutesa sana na inaonekana wanalengo moja na huyo jamaa wa ustawi wa jamii.
Kwenye kutoa hela ya matumizi ya mtoto haupo peke yako, mpo wengi na hapo ana vyeti vya mtoto zaidi ya kimoja.
Kama alikuuzia K, alishawauzia wangapi? Huyo mwanamke jambazi
Huu ndio ukweli wenyewe huyo mtoto wanagharamia wanaume wengi
 
Kala tunda kimasihara then anabambikiwa dogo kimasihara daah sio poa kbsa
 
Sas na we mwanetu miez 6 unakubal kutoa tumiz, mimba si miez 9 kabsa, apo kweny kutoa tumiz labd kama ungempa tu kias cha kumsaidia na muachane ivo, ila swala la mtoto we halikuhus kabsa,

Umeyakanyaga mwanetu, ila bado una nafas ya kupindua meza issue iko waz ni ww ndo unacomplicate

Naomba unisaidie mbinu jinsi ya kutegua huu mtego maana unaniumiza sana, na kipato changu hakiko sawa.
 
Naomba unisaidie mbinu jinsi ya kutegua huu mtego maana unaniumiza sana, na kipato changu hakiko sawa.
Kwan we ulikuabal kutoa tumiz kam nan, baba wa mtoto au msamalia tu, na je kulikua na makubaliano yyte ya kimaandishi juu ya kuhudumia mtot?
 
Yaani wewe jamaa ni mzembe mno ila sorry kama utakasirika.
Uzembe wa kwanza ulioufanya umelala na malaya pekupeku bila kinga sijui ulijiamini nini.
Uzembe wa pili ulijua kabisa tangu umetembea naye imepita miezi 6 tu halafu umeitwa ustawi wa jamii unakubali kwamba utamgharamia wakati ulijua kabisa kwamba hesabu za miezi haziendani.
Baada ya kukubali kugharamia sasa hivi ndio unashtuka unataka upewe ushauri.
Maana sasa hivi mkirudi tena ustawi watakuuliza swali kama mtoto hakuhusu kwa nini ulipokuja mwanzo ulikubali kwamba utamgharamia?

Najua Afsa ustawi ataniuliza hlo swali, ndo mnisaidie mbinu
 
Natamani niandike kitu kwa mtoa mada ila nitapigwa ban bure,ila itoshe kusema ww ni ZWAZWA
 
Watu mna roho ngumu. Unaokota mhudumu wa bar halafu unakwenda kupiga kavu? Mtu ambaye analalwa na kila mtu?

Huyo mtoto ni wako. Lea huyo mtoto acha kuleta za kuleta!
 
Back
Top Bottom