Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Kusingiziwa mtoto ambaye sio wako

Wew hujui kutoa ushauri, mim pia najutia maamuzi niliyoyachukua ya kulana na barmaid bila condom that’s why nmekuja jf kuomba ushauri, hapa dunian hakuna mtu mkamirifu

Ndo maana nasema Judgement yako hata sasa sio sahihi, anaweza kuwa mtoto wako huyo. Sio swala la ukamilifu, mambo mengine ni ya kijinga sana, unalalaje na mwanamke mmekutana leo tena wa Bar bila condom? Sio issue ya kuwa ukamilifu wala.
 
Na wew bwege mimba gani hiyo baada ya miezi sita mtu ameshajifungua?!! Na mjifunze kutumia kinga mkikutana na machangudoa km hao, usijikatie tamaa ya maisha kiasi hicho mpk uachie mbegu zako ovyo ovyo tu
 
Kuna uzi unatukanya juu ya wanawake washamba, wakuu nadhani tupate mfano hapa.

Ila Bro anza na kadi ya clinic, Kadi ya mtoto ndio uende kwenye DNA. Ukipewa kadi za huyo dada zichukue nenda kahakiki na kadi ya hospitali lazima kuna kamchanganyo utakapata tu. Ukikosa nenda kwa DNA sasa.

Ukimaliza hapo sasa nitakushauri namna ya kwenda mpeleka Mahakamani, hawezi taka kujinufaisha kirahisi rahisi hivyo akaachwa.
Sasa huyu ndio sampuli ya wanaume washamba, dunia hii unabambikiwaje mimba km umesoma hata kidogo!?
 
Kwa kweli pombe siyo chai, yani unakutana na mhudumu wa bar unalala nae bila kutumia kinga, Bora umesingiziwa mtoto kuliko kuambukizwa Ukimwi.
 
Katika pitapita zetu kwenye harakati za kumwagilia moyo, nikipita kwenye bar fulani nikawa nimemuelewa muhudumu mmoja, tukaelewana tukabadilishana namba, nikamuomba kulala naye usiku huo akakubali kwa mapatano ya kumlipa posho.

Muda ulipofika tukaenda kufanya yetu. Tulipofika chumbani alipovua, niliona dalili kama ana mimba maana alikua na tumbo kubwa na alikua anatema mate kila mala. Japokua nilikua na pombe kichwani lakini niliweza kutambua hilo.

Tumefanya yetu pakakucha, asubuhi nikampa chake kila mtu akaendelea na ratiba za maisha yake.
Baada ya miezi 6 iliingia namba mpya ikinipigia kwenye simu yangu, kupokea nikaskia sauti ya kike inaniuliza kuwa, “Lini utakuja kumuona mwanao?“

Nilipingwa na butwaa nikamuulize “Wewe ni nani?“ Akajitambulisha kiundani zaidi nikawa nimemkubuka, nikaamuliza, “Unataka nije kumuona mwanangu yupi?” Akasema hujui kama siku tupolala wote ulinipa mimba na tayari nimeshajifungua mtoto wa kike?

Nlistaajabu sana nikawa nimemkatalia kuwa mimi siwezi kuwa baba wa huyo mtoto maana hata siku hiyo tunalala wote ulikuwa una dalili zote za kuwa na mimba tayari, mawasliano yakawa yameishia hapo.

Baada ya week 1 tangu anipigie kuhusu taarifa ya kunibambikia mimba, ghafla nikapigiwa na namba Afisa Ustawi wa Jamii kuwa nahitajika ofisini. Nikaenda kusikiliza, nikahojiwa kama namfahamu huyo dada nikakubali kuwa namfahamu lakini nilipinga kuwa huyo mtoto sio wangu.

Afisa Ustawi akanishauri sana kuhusu matumizi madogo madogo ya mtoto nikakubari kuwa ntakuwa natuma pesa ya matumizi madogo madogo.

Kadri siku zinavyozidi kwenda naona kama inazidi kuwa kero, yule dada mhudumu wa bar anakuwa ananipigia mpaka saa 5 usiku, nikiwa nimelala anatuma mesej za ajabu, anakuja ofsini ninapofanyia kazi bila taarifa, yaani inakuwa ni vurugu.

Na nikiamuaria yule mtoto na muda tuliosex na mama yake na umri alionao yule mtoto ni tofauti kabisa, nahisi nimepigwa na kitu kizito kwasababu hata kusema kufanana hajafanana na mimi hata kidogo.

Naombeni ushauri wenu wana JF, nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo la huyu dada mhuni?
Kwahiyo Blaza ulipiga Muhudumu nyama nyama..kweli wewe ni shujaaa
 
Kuna demu mmoja nikikutana naye sehemu nikamuelewa nikaomba namba tukawa marafiki alikuwa anauza chakula Bar ana mzigo hatar, sikuwa na haraka ya kumgonga nikawa naenda naye taratibu sasa ilifika muda akawa anahitaji nimgonge nikamwambia sawa ila kwasasa Niko busy kidgo nitakujulisha nikiwa tayar, nikamzingua zingua mwishowe akagundua kama sijawa tayar kwa tendo akaacha kuniomba nimle na mm nikaendelea kumtafuta kwa salamu na story zingine za kawaida, baada kama ya miez mi5 anakuja niambia ana mimba na ilibidi aniambie kwasababu professional yangu inahusiana na hao wajawazito nilipokuja kupiga mahesabu umri wa mimba na siku aliyokuwa anataka nikamgonge nikagindua ilikuwa ishapita kama wiki Toka abebeshwe mimba kwahiyo kama ningemgonga basi Kuna uwezekano mkubwa angenisingizia mm ndio baba wa mtoto, nikawa nimekikwepa hicho kikombe kwa namna hiyo.

FUNZO: Ogopa sana mwanamke anayeharakisha umgonge na Yuko radhi alipie mpaka guest ni hatar otherwise tumieni kinga kama hamuwez kuacha uzinzi.
 
Wewe ni mwehu tu,yaani malaya kabisa kabisa unapiga bila kondomu.
Mbwa wewe kula hayo matunda ya ujinga wako
 
Katika pitapita zetu kwenye harakati za kumwagilia moyo, nikipita kwenye bar fulani nikawa nimemuelewa muhudumu mmoja, tukaelewana tukabadilishana namba, nikamuomba kulala naye usiku huo akakubali kwa mapatano ya kumlipa posho.

Muda ulipofika tukaenda kufanya yetu. Tulipofika chumbani alipovua, niliona dalili kama ana mimba maana alikua na tumbo kubwa na alikua anatema mate kila mala. Japokua nilikua na pombe kichwani lakini niliweza kutambua hilo.

Tumefanya yetu pakakucha, asubuhi nikampa chake kila mtu akaendelea na ratiba za maisha yake.
Baada ya miezi 6 iliingia namba mpya ikinipigia kwenye simu yangu, kupokea nikaskia sauti ya kike inaniuliza kuwa, “Lini utakuja kumuona mwanao?“

Nilipingwa na butwaa nikamuulize “Wewe ni nani?“ Akajitambulisha kiundani zaidi nikawa nimemkubuka, nikaamuliza, “Unataka nije kumuona mwanangu yupi?” Akasema hujui kama siku tupolala wote ulinipa mimba na tayari nimeshajifungua mtoto wa kike?

Nlistaajabu sana nikawa nimemkatalia kuwa mimi siwezi kuwa baba wa huyo mtoto maana hata siku hiyo tunalala wote ulikuwa una dalili zote za kuwa na mimba tayari, mawasliano yakawa yameishia hapo.

Baada ya week 1 tangu anipigie kuhusu taarifa ya kunibambikia mimba, ghafla nikapigiwa na namba Afisa Ustawi wa Jamii kuwa nahitajika ofisini. Nikaenda kusikiliza, nikahojiwa kama namfahamu huyo dada nikakubali kuwa namfahamu lakini nilipinga kuwa huyo mtoto sio wangu.

Afisa Ustawi akanishauri sana kuhusu matumizi madogo madogo ya mtoto nikakubari kuwa ntakuwa natuma pesa ya matumizi madogo madogo.

Kadri siku zinavyozidi kwenda naona kama inazidi kuwa kero, yule dada mhudumu wa bar anakuwa ananipigia mpaka saa 5 usiku, nikiwa nimelala anatuma mesej za ajabu, anakuja ofsini ninapofanyia kazi bila taarifa, yaani inakuwa ni vurugu.

Na nikiamuaria yule mtoto na muda tuliosex na mama yake na umri alionao yule mtoto ni tofauti kabisa, nahisi nimepigwa na kitu kizito kwasababu hata kusema kufanana hajafanana na mimi hata kidogo.

Naombeni ushauri wenu wana JF, nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo la huyu dada mhuni?
DNA
 
Hao madem wa kuokoteza wasijue unakofanyia kazi aisee.. I mean hauko committed na mtu, why ajue vitu vingi kukuhusu?

Kwanza hata hawatakiwi kujua unapoishi.

Kama mlisex then after 6 month akwambie kajifungua, huyo mtoto ni njiti au?
😂😂😂
 
Maweeee
FB_IMG_16000145154341547-1.jpg
 
Hao madem wa kuokoteza wasijue unakofanyia kazi aisee.. I mean hauko committed na mtu, why ajue vitu vingi kukuhusu?

Kwanza hata hawatakiwi kujua unapoishi.

Kama mlisex then after 6 month akwambie kajifungua, huyo mtoto ni njiti au?

Skuwahi mpeleka kazini kwangu, lakini ni yeye alikuja na sjui alielekezwa na nan.
 
Katika pitapita zetu kwenye harakati za kumwagilia moyo, nikipita kwenye bar fulani nikawa nimemuelewa muhudumu mmoja, tukaelewana tukabadilishana namba, nikamuomba kulala naye usiku huo akakubali kwa mapatano ya kumlipa posho.

Muda ulipofika tukaenda kufanya yetu. Tulipofika chumbani alipovua, niliona dalili kama ana mimba maana alikua na tumbo kubwa na alikua anatema mate kila mala. Japokua nilikua na pombe kichwani lakini niliweza kutambua hilo.

Tumefanya yetu pakakucha, asubuhi nikampa chake kila mtu akaendelea na ratiba za maisha yake.
Baada ya miezi 6 iliingia namba mpya ikinipigia kwenye simu yangu, kupokea nikaskia sauti ya kike inaniuliza kuwa, “Lini utakuja kumuona mwanao?“

Nilipingwa na butwaa nikamuulize “Wewe ni nani?“ Akajitambulisha kiundani zaidi nikawa nimemkubuka, nikaamuliza, “Unataka nije kumuona mwanangu yupi?” Akasema hujui kama siku tupolala wote ulinipa mimba na tayari nimeshajifungua mtoto wa kike?

Nlistaajabu sana nikawa nimemkatalia kuwa mimi siwezi kuwa baba wa huyo mtoto maana hata siku hiyo tunalala wote ulikuwa una dalili zote za kuwa na mimba tayari, mawasliano yakawa yameishia hapo.

Baada ya week 1 tangu anipigie kuhusu taarifa ya kunibambikia mimba, ghafla nikapigiwa na namba Afisa Ustawi wa Jamii kuwa nahitajika ofisini. Nikaenda kusikiliza, nikahojiwa kama namfahamu huyo dada nikakubali kuwa namfahamu lakini nilipinga kuwa huyo mtoto sio wangu.

Afisa Ustawi akanishauri sana kuhusu matumizi madogo madogo ya mtoto nikakubari kuwa ntakuwa natuma pesa ya matumizi madogo madogo.

Kadri siku zinavyozidi kwenda naona kama inazidi kuwa kero, yule dada mhudumu wa bar anakuwa ananipigia mpaka saa 5 usiku, nikiwa nimelala anatuma mesej za ajabu, anakuja ofsini ninapofanyia kazi bila taarifa, yaani inakuwa ni vurugu.

Na nikiamuaria yule mtoto na muda tuliosex na mama yake na umri alionao yule mtoto ni tofauti kabisa, nahisi nimepigwa na kitu kizito kwasababu hata kusema kufanana hajafanana na mimi hata kidogo.

Naombeni ushauri wenu wana JF, nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo la huyu dada mhuni?
Unagonga bar maid bila kinga!
 
Back
Top Bottom