Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
- Thread starter
- #21
Hongera babu wengine kazi yetu kulalamika tuuuuuuuuuu,shukrani hakuna bwana.
Mara ngapi?........E bwana sidanganyi siwezi kumbuka....Nna zaidi ya miaka kumi na huyu mrembo.
Ila mara ya mwisho ilikuwa leo asubuhi alivyoniambia ananitakia kazi njema.