Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,659
- Thread starter
- #21
Slogan ya JF iko very clear. ...A home of great thinkers...sasa saa nyingine inakuwa nguvu mtu anaposhindwa kufikiri zaidi ya kufikiriJr ametumia indirect image(metaphor)kufkisha meseji.kiukweli yako mambo mengi yanayoyurudisha hatua nyingi nyuma sio lazima fikra hasi hata familia yako au mke wako au rfiki zako wanaweza kukushikia chini hata kama unapenda mafanikio utabaki kuyaskia tu!me kuna mtu ashaniambia mara ndugu yako wa kike anakuchezea ila sbb me mshirika au mfuasi wa uchawi huwa siamini kitu ingawa naamini upo uchawi.Ila kwa kipindi km hiki nachopitia ningeweza kuamini nafanyiwa foul ila napotezea