Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
nimejiuliza sana wadau umaskini wetu unachangiwa na viongozi wetu kwa sababu ya anasa zao
kwa ambao mmesafiri nani ameona waziri anatembelea VX? wengi wanatembelea baiskeli kwenda makazini kwao au vigari vidogo kama vitz nk. huyu ni waziri wa nchi tajiri kama Norway,sweden nk,
iweje nchi maskini viongozi waishi maisha ya anasa kiasi hicho huku wananchi wakitaabika kiasi hicho?
kwann serikali isiache kununua magari ya anasa? changamoto kwa chadema na CCM simamieni haki.
nadhani wakati sasa wa M4C kuchukua hatua mapema kuiokoa nchi.
nawasilisha.
kwa ambao mmesafiri nani ameona waziri anatembelea VX? wengi wanatembelea baiskeli kwenda makazini kwao au vigari vidogo kama vitz nk. huyu ni waziri wa nchi tajiri kama Norway,sweden nk,
iweje nchi maskini viongozi waishi maisha ya anasa kiasi hicho huku wananchi wakitaabika kiasi hicho?
kwann serikali isiache kununua magari ya anasa? changamoto kwa chadema na CCM simamieni haki.
nadhani wakati sasa wa M4C kuchukua hatua mapema kuiokoa nchi.
nawasilisha.