ngulukizi
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 511
- 1,431
Kwa ufahamau wako unafikiri kaondoka baada ya omy kuwa Wasafi fm au vipiwewe unadai kilichomuondoa ni maslah, sio kweli kilichomuondoa sio maslahi, maslahi yalimuondoa kipindi yuko timesfm
Kwa ufahamau wako unafikiri kaondoka baada ya omy kuwa Wasafi fm au vipiwewe unadai kilichomuondoa ni maslah, sio kweli kilichomuondoa sio maslahi, maslahi yalimuondoa kipindi yuko timesfm
kujiajiri si rahisi kama unavofikiria, Millard ayo kajiajiri the same time kaajiriwa
Aisee udobi kumbe unalipa eeh! Kwelli mjomba wangu anacheza, mwaka wa 20 huu wA udobi na bado hajatoka.U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...
Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
(shukrani tu and not otherwise) hata Channel yake kama inamlipa mpunga mrefu kumbuka ana bills za kulipa ana team yule ya watu wengi tu wanadai mishahara, anatakiwa alipe kodi, yeye ni Brand na Clouds ni brand wote wanabebana, leo hii akitoka Clouds umaarufu/Kipato chake hauwezi kuwa kama alivo clouds elewa hiloSio kwel...unahis milard anapewa sh ngap hapo clouds? Na channel yake inamlipa kias gan? Hela anayopata kweny kujiajir kwake ni kubwa kuliko ya clouds..swala la yeye kubaki pale cmg huenda ni shukran tu and not otherwise
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa anafanya hivyo.U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...
Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
kuna watu wana stress humu jf balaa.Huwa anafanya hivyo.
Wakati anafanya shughuli zake za kusafisha viatu hufungulia redio, kituo baada ya kingine.
Akirudi nyumbani jioni huwa anapata muda mubashara kabisa wa kutizama vipindi vya TV.
Then akipata ka muda hapo katikati anafanya hii punditry sasa na wengi tuna enjoy
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupangia watu maisha wewe mzeeU jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...
Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
Kwani mishahara yao ina range kiasi gani kwa mwezi? Au tuseme kwa wastani mishara ya watangazaji wengi wa radio kwa Tanzania mi kiasi gani?Mseme tu maslahi ndio yamemuondoa hapo wasafi fm mbona sie wengine tunajua hivyo ila kuanza kusema sijui omy ndio kachangia ni uongo tu huo wa washabiki wa Wasafi kutetea upande huo mimi mwenyewe demu wangu yupo mbioni kuacha kazi hapo we mtu afanye kazi ya kubwabwaja mda wote halafu azidiwe mshahala na tela wa bank ya Aces kweli huo ni uungwana
Mseme tu maslahi ndio yamemuondoa hapo wasafi fm mbona sie wengine tunajua hivyo ila kuanza kusema sijui omy ndio kachangia ni uongo tu huo wa washabiki wa Wasafi kutetea upande huo mimi mwenyewe demu wangu yupo mbioni kuacha kazi hapo we mtu afanye kazi ya kubwabwaja mda wote halafu azidiwe mshahala na tela wa bank ya Aces kweli huo ni uungwana
U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...
Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
Hahaha asante mkuuHuwa anafanya hivyo.
Wakati anafanya shughuli zake za kusafisha viatu hufungulia redio, kituo baada ya kingine.
Akirudi nyumbani jioni huwa anapata muda mubashara kabisa wa kutizama vipindi vya TV.
Then akipata ka muda hapo katikati anafanya hii punditry sasa na wengi tuna enjoy
Sent using Jamii Forums mobile app
Mishahara iko tofauti kwa Regional redio na National redio, mikoani watu wanachezea mpaka 300k, 200k inategemeana na nafasi yako, pia kwa redio kubwa mshahara unaweza kuwa wa kawaida ila bonus za matangazo ya kipindi chenu ukapata package kubwa, pia redio huwabeba watangazaji na kupata deals za ku host event, kuingiza sauti kwenye matangazo na matangazo madogomadogoKwani mishahara yao ina range kiasi gani kwa mwezi? Au tuseme kwa wastani mishara ya watangazaji wengi wa radio kwa Tanzania mi kiasi gani?
Sio kwel...unahis milard anapewa sh ngap hapo clouds? Na channel yake inamlipa kias gan? Hela anayopata kweny kujiajir kwake ni kubwa kuliko ya clouds..swala la yeye kubaki pale cmg huenda ni shukran tu and not otherwise
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza isiwe loss kwa sasa ila kwa baadae wataelewa, pia naona wanashindwa kujitofautisha kati ya Media na Lebo.kumpoteza jonijoo ni loss Kubwa sana