Kusepa kwa Jonijo Wasafi; Je, Lil Ommy anachangia?

Sio kwel...unahis milard anapewa sh ngap hapo clouds? Na channel yake inamlipa kias gan? Hela anayopata kweny kujiajir kwake ni kubwa kuliko ya clouds..swala la yeye kubaki pale cmg huenda ni shukran tu and not otherwise
kujiajiri si rahisi kama unavofikiria, Millard ayo kajiajiri the same time kaajiriwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...

Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
Aisee udobi kumbe unalipa eeh! Kwelli mjomba wangu anacheza, mwaka wa 20 huu wA udobi na bado hajatoka.
 
Sio kwel...unahis milard anapewa sh ngap hapo clouds? Na channel yake inamlipa kias gan? Hela anayopata kweny kujiajir kwake ni kubwa kuliko ya clouds..swala la yeye kubaki pale cmg huenda ni shukran tu and not otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app
(shukrani tu and not otherwise) hata Channel yake kama inamlipa mpunga mrefu kumbuka ana bills za kulipa ana team yule ya watu wengi tu wanadai mishahara, anatakiwa alipe kodi, yeye ni Brand na Clouds ni brand wote wanabebana, leo hii akitoka Clouds umaarufu/Kipato chake hauwezi kuwa kama alivo clouds elewa hilo
 
U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...

Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
Huwa anafanya hivyo.

Wakati anafanya shughuli zake za kusafisha viatu hufungulia redio, kituo baada ya kingine.

Akirudi nyumbani jioni huwa anapata muda mubashara kabisa wa kutizama vipindi vya TV.

Then akipata ka muda hapo katikati anafanya hii punditry sasa na wengi tuna enjoy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa anafanya hivyo.

Wakati anafanya shughuli zake za kusafisha viatu hufungulia redio, kituo baada ya kingine.

Akirudi nyumbani jioni huwa anapata muda mubashara kabisa wa kutizama vipindi vya TV.

Then akipata ka muda hapo katikati anafanya hii punditry sasa na wengi tuna enjoy

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna watu wana stress humu jf balaa.

yaani mtu anamshukia mwingine mzima mzima mpaka unashangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U jobless wa akili ni kazi na gharama kubwa a...

Yaani kwasababu huna kazi ndio maisha yako yote umededicate kwenye kufuatilia vipindi vyote vya redio zote na tv zote?
Huo muda ungeanzisha kijiwe Cha kubrashi viatu, au ungeanza kazi ya udobi kwa siku minimum unalaza 20'000/- ambapo kwa mwezi ni sh. 600'000/-
Acha kupangia watu maisha wewe mzee
 
Mseme tu maslahi ndio yamemuondoa hapo wasafi fm mbona sie wengine tunajua hivyo ila kuanza kusema sijui omy ndio kachangia ni uongo tu huo wa washabiki wa Wasafi kutetea upande huo mimi mwenyewe demu wangu yupo mbioni kuacha kazi hapo we mtu afanye kazi ya kubwabwaja mda wote halafu azidiwe mshahala na tela wa bank ya Aces kweli huo ni uungwana
Kwani mishahara yao ina range kiasi gani kwa mwezi? Au tuseme kwa wastani mishara ya watangazaji wengi wa radio kwa Tanzania mi kiasi gani?
 
Mseme tu maslahi ndio yamemuondoa hapo wasafi fm mbona sie wengine tunajua hivyo ila kuanza kusema sijui omy ndio kachangia ni uongo tu huo wa washabiki wa Wasafi kutetea upande huo mimi mwenyewe demu wangu yupo mbioni kuacha kazi hapo we mtu afanye kazi ya kubwabwaja mda wote halafu azidiwe mshahala na tela wa bank ya Aces kweli huo ni uungwana


stidy
 
Huwa anafanya hivyo.

Wakati anafanya shughuli zake za kusafisha viatu hufungulia redio, kituo baada ya kingine.

Akirudi nyumbani jioni huwa anapata muda mubashara kabisa wa kutizama vipindi vya TV.

Then akipata ka muda hapo katikati anafanya hii punditry sasa na wengi tuna enjoy

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha asante mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwani mishahara yao ina range kiasi gani kwa mwezi? Au tuseme kwa wastani mishara ya watangazaji wengi wa radio kwa Tanzania mi kiasi gani?
Mishahara iko tofauti kwa Regional redio na National redio, mikoani watu wanachezea mpaka 300k, 200k inategemeana na nafasi yako, pia kwa redio kubwa mshahara unaweza kuwa wa kawaida ila bonus za matangazo ya kipindi chenu ukapata package kubwa, pia redio huwabeba watangazaji na kupata deals za ku host event, kuingiza sauti kwenye matangazo na matangazo madogomadogo
 
Ukivalishwa jezi na mchezo hujauelewa,Usipagawe.
Kaa umo umo Tushinde..
BANGO KAMA BANGO,Sikuhizi wanatujua
 
Usiwaambie wahuni kazi ngumu na Advance umekula,watakufinya..
Kamati ya nidhamu inatujua/PLATE NUMBER (A)
 
Sio kwel...unahis milard anapewa sh ngap hapo clouds? Na channel yake inamlipa kias gan? Hela anayopata kweny kujiajir kwake ni kubwa kuliko ya clouds..swala la yeye kubaki pale cmg huenda ni shukran tu and not otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli mkuu usemalo amebaki clouds kama kutoa shukrani lakini nlisikia interview yake anasema 2008 alikua analipwa mara tano ya ITV alipokua anapokea 300,000 means ni 1.5M lakini miaka 12 yupo apo means ameisha renew mikataba anaweza kua analamba ata 3.5 uko now japo mishe zake zinaingiza pesa nyingi sana zaidi ya kazi yake clouds maana anafanya matangazo ya kampuni nyingi sana na ninacho mpenda jamaa ni kua ni mtu mtaratibu sana na mkweli nlipo skiliza interview yake nlipata mambo mengi sana kujua kwamba ata kama umefeli class kutoboa maisha kupo kama ukipambana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kumpoteza jonijoo ni loss Kubwa sana
Inaweza isiwe loss kwa sasa ila kwa baadae wataelewa, pia naona wanashindwa kujitofautisha kati ya Media na Lebo.
Kama leo interview ya Suma lee haijaisha Babu Tale nae kaingia katkat kaja na mambo yake, interview ikaishia katikati, sasa huo ni Udwanzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom