Kusamehe ni kitu kigumu sana:

Kusamehe na kusahau au kutosahau kunategemeana na jinsi MUNGU alivyokupa nguvu i!!Wengine ni wepesi kusema nimekusamehe lakini kila siku anarudia kuongelea jambo hilo hilo, hapo kuna kusamehe kweli! Kanuni ya MUNGU Usiposamehe si rahisi kusamehewa, sharti usamehe ili na wewe usamehe.
Wengine Mungu amewapa nguvu ya kusamehe, utashangaa unakosea na kusamehewa, unarudia tena Bado unasamehewa, Kama na wewe ni MMojawapo Mungu akubariki sana, Na hata wewe ambaye ni ngumu kusamehe na kusahau ubarikiwe pia na upewe nguvu ya kusamehe na kusahau.

Kama tumesameheana na mtu na then huyo mtu kila nikikutoana nae anarudia the same story tena kwa namna ya lawama huyo mtu hajasamehe na wakla halijamtoka mkuu na bado ana kinyongo na wewe
Wapaswa kusamehe na hapo ndipo tunasema kusahau tukio hata tukikutana tusiliongelee
Sasa kama bado unaendelea kunilaumu ulinisamehe nini sasa
 
Kusamehe na kusahau au kutosahau kunategemeana na jinsi MUNGU alivyokupa nguvu i!!Wengine ni wepesi kusema nimekusamehe lakini kila siku anarudia kuongelea jambo hilo hilo, hapo kuna kusamehe kweli! Kanuni ya MUNGU Usiposamehe si rahisi kusamehewa, sharti usamehe ili na wewe usamehe.
Wengine Mungu amewapa nguvu ya kusamehe, utashangaa unakosea na kusamehewa, unarudia tena Bado unasamehewa, Kama na wewe ni MMojawapo Mungu akubariki sana, Na hata wewe ambaye ni ngumu kusamehe na kusahau ubarikiwe pia na upewe nguvu ya kusamehe na kusahau.

Hapo kwenye red:wapo wengi sana watu wa namna hii,anasema amekusamehe lakini unaenda kusikia maneno sehemu nyingine.Hakika watu kama hawa mungu awezi kuwasamehe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom