Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
<br />Kwa hiyo unakuwa ujafanya kitu kama utasamehe bila kusahau?
<br />
kusahau niliyofanyiwa ni sawa na kusahau jina langu.
Siwezi kusahau hata kidogo!
<br />Kwa hiyo unakuwa ujafanya kitu kama utasamehe bila kusahau?
Kusamehe na kusahau au kutosahau kunategemeana na jinsi MUNGU alivyokupa nguvu i!!Wengine ni wepesi kusema nimekusamehe lakini kila siku anarudia kuongelea jambo hilo hilo, hapo kuna kusamehe kweli! Kanuni ya MUNGU Usiposamehe si rahisi kusamehewa, sharti usamehe ili na wewe usamehe.
Wengine Mungu amewapa nguvu ya kusamehe, utashangaa unakosea na kusamehewa, unarudia tena Bado unasamehewa, Kama na wewe ni MMojawapo Mungu akubariki sana, Na hata wewe ambaye ni ngumu kusamehe na kusahau ubarikiwe pia na upewe nguvu ya kusamehe na kusahau.
Kusamehe na kusahau au kutosahau kunategemeana na jinsi MUNGU alivyokupa nguvu i!!Wengine ni wepesi kusema nimekusamehe lakini kila siku anarudia kuongelea jambo hilo hilo, hapo kuna kusamehe kweli! Kanuni ya MUNGU Usiposamehe si rahisi kusamehewa, sharti usamehe ili na wewe usamehe.
Wengine Mungu amewapa nguvu ya kusamehe, utashangaa unakosea na kusamehewa, unarudia tena Bado unasamehewa, Kama na wewe ni MMojawapo Mungu akubariki sana, Na hata wewe ambaye ni ngumu kusamehe na kusahau ubarikiwe pia na upewe nguvu ya kusamehe na kusahau.