- Thread starter
- #141
hahahha ile ilikuwa imezumu font size sasa wapo watu ambao wanazoom maneno, kwa mfano tetemeko la jana Mwanza unakuta mtu anazumu maneno, mara ooooh! wamekufa 20 mara hivi mara vile huko ndio kuzoom maneno, kuyakuza hahahahahhaShemeji ukiona hivyo ujue uko kichwani mwangu sana.
Nilikuwa naipenda kwa sababu yenyewe imezoom halafu inakataza kuzoom