Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,844
Wewe ndiyo nikuulizeKuandikisha gesti ukiingia usiku huwa na lengo gani?
Wewe ndiyo nikuulizeKuandikisha gesti ukiingia usiku huwa na lengo gani?
Kwahiyo hivyo vitabu havitaungua?Mfano kikitokea cha kutokea labda jengo likalipuka, inakuwa rahisi kujua nani na nani walikuwa ndani na hivyo ndugu wa waathirika kupata habari.
Kweli kabisa RootSijawahi ona maana yake maana watu hudanganya majina
Bora wale wanaochukua ID na kukupa kadi
Nina majibu yote ya maswali yako ila sioni kama kuna sababu ya kukujibu
Hapana asipige, walio wengi na wema wamechangia na kunielewesha kwahiyo sio vizuri kumsumbuaMwambie akupe namba utampigia kwa muda wako umpe hayo majibu.
Kwahiyo hivyo vitabu havitaungua?
du! pole sana,ila wewe ni mvumilivu I guessNi utaratibu katika ofisi nyingi lakini unapoteza muda wa hao wageni. Nilifika tra tabora nikaambiwa niweke jina kwenye kitabu. Natoka mlinzi binti yuko busy na simu yake, anasema 'usibiri waandike hawa nawe uandike muda wa kutoka'. Ni vile tu watanzania tuna muda wa kupoteza, hatuna shughuli.
Shemeji yangu mwidiweSoma vizuri thread mkuu, umeambiwa daftari la kusign getini kabisa, na tumezungumzia kuungua jengo.
BTW, hiyo ni moja ya point, na wewe unaweza kutuambia kazi yake ni nini hasa, maana hatujasema kwamba hiyo ndo sababu pekee, tunajaribu kukusanya majibu.
Shemeji yangu mwidiwe
Nilimo, urakoze kwa kujibu salamu yangu.Mwidiwe shemeji, ulimo?
Nilimo, urakoze kwa kujibu salamu yangu.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Shemeji naachaje kujibu salamu yako?
Maana naweza kujinyima vingi shemeji.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
hahaahhahah, ki vipi? font size au maneno, hahahaha niweke sawa shemejiHalafu mbona ume-zoom signature?
hahaahhahah, ki vipi? font size au maneno, hahahaha niweke sawa shemeji
ilisomeka: WEE NAYE ACHA KU ZOOM MANENO hahahahahahhNo nimeikumbua signature ya ACHA KUZOOM MANENO, baada ya kuna umebadili.
ilisomeka: WEE NAYE ACHA KU ZOOM MANENO hahahahahahh
kweli shemeji una kumbukumbu