Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
ooooh my am tired!!!!!!!!!!!
thank God you wont be my husband...............
Yaani ukidondokea mikononi mwangu wewe utaonja utamu wa dunia nitakusaidia mpaka kufua kufuli.
ooooh my am tired!!!!!!!!!!!
thank God you wont be my husband...............
Kabla sijaoa kulikuwa na vibinti kama vinne hivi nilikuwa navipanga bila ya vyenyewe kujua. Kila kimoja nilikuwa nakiita waifu tu bii. Chenye zamu ya kunihudumia lazima kifanye usafi wa kila kitu ikiwemo makufuli. Baada ya kuchoka mambo hayo ndo nikaamua kuweka ndani mai waifu ambaye katika mkataba wetu mojawapo ya makubaliano yetu ni kunifulia makufuli mpaka kifo kitutenganishe.
Mapenzi ni kusaidiana.hakuna shida kumsaidia mkeo kupika au kufua.Tatizo ni mfume dume umetutawala.Watanzania tunazaliwa na STEREOTYPES za kuwa kuna kazi za kike na za kiume.Huo uongo tunajengewa toka watoto na tunakuwa nao.Kuna familia wanazaliwa watoto wa kiume tupu na mbona wanafanya hizo kazi za kupika na usafi?tubadilike jamani
oh gracious lord, lets pray.kabla sijaoa kulikuwa na vibinti kama vinne hivi nilikuwa navipanga bila ya vyenyewe kujua. Kila kimoja nilikuwa nakiita waifu tu bii. chenye zamu ya kunihudumia lazima kifanye usafi wa kila kitu ikiwemo makufuli. Baada ya kuchoka mambo hayo ndo nikaamua kuweka ndani mai waifu ambaye katika mkataba wetu mojawapo ya makubaliano yetu ni kunifulia makufuli mpaka kifo kitutenganishe.
yani wewe ndo hujuii.Hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.Tabia za kizungu kumwambia mwenzio afue sindiria afue kufuli zako afue kanga zako afue nanihii na akate nanihiino
Heee kumbe wewe ni she/he! mmh
Jalini waume zenu kama unaweza jaribu kumuogesha siku za week end akienda kula bia awe anakuwaza home.
hahaaaa unaona sasa......Yaani ukidondokea mikononi mwangu wewe utaonja utamu wa dunia nitakusaidia mpaka kufua kufuli.
yani wewe ndo hujuii.Hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.
ndugu yangu mbona tunanyanyapaliana?????Mpwa hebu angalia nimekugongea nini kwenye hii yuziful posti.
Baridiiiiiii baridiiiiiii
Alamba alamba ammmmm ammmmm!
Kabla sijaoa kulikuwa na vibinti kama vinne hivi nilikuwa navipanga bila ya vyenyewe kujua. Kila kimoja nilikuwa nakiita waifu tu bii. Chenye zamu ya kunihudumia lazima kifanye usafi wa kila kitu ikiwemo makufuli. Baada ya kuchoka mambo hayo ndo nikaamua kuweka ndani mai waifu ambaye katika mkataba wetu mojawapo ya makubaliano yetu ni kunifulia makufuli mpaka kifo kitutenganishe.
we acha wafanye mapenzi kama geshi ra wananchi wa tarime, yani nikisema nyumaa geuka, unageuka bila kuuliza why? Kufanya nini?yani wewe ndo hujuii.hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.
Hahaha! Wakati huo nilikuwa hata sijui kutongoza. Saa nyingine kufuli namtupia sista ana-do the needful.na ulivokuwa ngiliboru ulikuwa una nunua dispossable unataka kusema??
Hapo ndo naposhindwa kuwaelewa hawa binadamu.tubadilike lakini with a health mind, sio tuuingie u-beijing kichwakichwa.............. tena ubeijinga hadi kitandani................ bado kuna ndoa hapo????????????................
Amen! hallelluyah! Umeelewa sasae?oh gracious lord, lets pray.
Kufua kufuli ndo kikorombwezo cha mapenzi? OMG!yani wewe ndo hujuii.Hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.
yani wewe ndo hujuii.Hivyo ndio vikorombwezo vya mapenzi na chachandu.
oh gracious lord, lets pray.
we acha wafanye mapenzi kama geshi ra wananchi wa tarime, yani nikisema nyumaa geuka, unageuka bila kuuliza why? Kufanya nini?
Mwanaume hana khaki ya kufua nguo ya mke wake kikwetu ni dhambi hata dini pia
ndugu yangu mbona tunanyanyapaliana?????
OP hebu kaangalie nimekugongea nini kwenye hii yuziful posti.Mwanaume hana khaki ya kufua nguo ya mke wake kikwetu ni dhambi hata dini pia