Kusaidiana kwenye ndoa...

Jamani hii ya haki sawa inavuka mpaka..... kusaidiana hadi kufualiana chupi? hii si sawasawa, dada unahitaji kujirekebisha not to that much!! huoni hata aibu kuleta hiyo thread yao hapa. khaaaaaa
kuna wengine TENDO LA NDOA LINAANZIA KWENYE KUFULIANA CHUPI!...sasa utafanya gani hapo dokta remmy?:D:D
 
Jamani hii ya haki sawa inavuka mpaka..... kusaidiana hadi kufualiana chupi?

Kuna jamaa angu mmoja wa TA alikuwa anatembea na kufuli ya mchumba ake nilikuwa najiuliza maswali mengi bila kupata majibu tukikaa hivi anaitoa anaanza kuitazama lol atakuwa alikuwa anapendezewa na harufu bila shaka.
 
Mzee amekosea.. NI MUHIMU KUSAIDIANA KWA KILA KINACHOWEZEKANA.. Kufua kufuli la mwenzi wako sio kosa.. Je akiumwa nani atafua? Inatakiwa hata kumnyoa wakati akiwa MJAMZITO ni kazi yako Mme.
 
Najaribu kuimagine hiyo chupi ya kulowekwa usiku kucha ndipo ifuliwe itakuwa imevaliwa kwa siku ngapi? To me kufua a single chupi ni kazi ya dakika kama tano tu!



Big Uuuuuuuuuuuup! nakupa thanx, kwa mwanamke kufua kitasa ni lazima pale unapokwenda kuogo, sasa wewe unaloweka, hahahahaahahah ajabu alafu unaomba mume akusaidie. pole sana .ila unatafuta matatizo kwenye ndoa yako . So pls be care full nje kuna mapapa yanamsubiri.
 
Wana Jfs nalileta hili ombi nisaidieni kumuelimisha my best friend wangu...

Story yenyewe iko hivi nanukuu tukiwa kama mume na mke tunatakiwa kusaidiana, kwa mfano umeamka asuhuhi umekwenda kazini jana yake umeloweka nguo zenu za ndani asubuhi yake kwa sababu umechekewa kazini ukashindwa kuzifua ukampigia simu mume ambaye yupo likizo ukamuomba akusaidie kufua...akasema sawa uliporudi home ukazikuta kama ulivyoziacha ukaamua umuulize akakuambia tokea asubuhi ashinde hapo home hakuingia bafuni/****** so alisahau hakuziona...mara ugomvi unaanza niache uchafu na mimi ni mvivu sasa hapo ni nani ana makosa...wakati nikiwa kazini nilimuomba anisaidie...na ndoa ni kusaidiana jamani..kuingia tuu chumbani kwetu ambapo ni master afue hizo nguo anaona haya!!please naomben ushauri wenu maana imeniuma sana...

Some advice!

From Friend...
..........Huyo mwanaume mchafu na mbinafsi, kama yupo likizo kwa nini asikusaidie kazi? Wanaume kama hao wanabore sana,kila kitu anataka kufanyiwa kwani wewe umekuwa mtumwa kwake?
 
Ni vizuri kusaidiana lakini hii ilikuwa kali kidogo, mimi kama ningerudi na kuzikuta ningefua kisha namtoa mzee out yaani dinner ya nguvu, yeye mwenyewe ataona aibu. Siku nyingine hawezi kurudia!
 
mie nilivyofundishwa kwetu ni kwamba mtu unafua kufuli lako wakati unapooga lkn mume kumfulia wife sioni kama ni vibaya.
 
huyo mwanmke ni mchafu na anastahili talaka.................. mwanaume afue vitasa???????????????? labda yule wa noname......................... shame shame.............. shameful..............
WTF is going on here? did i keep walking around inside ur mind Akili...
:)... leave my guy alone...will ya?

I dont know why its a big issue here, this dude kama anaweza kuivua hiyo chupi kwanini ashindwe kuifua... some men are just boring...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom