ulanzi mtamu: Nijibu maswali yafuatayo ndio nikusaidie.
1.Wakati unaondoka
(a)Uliaga? Au kupewa ruhusa na mwajiri wako?..na document ya kuthibisha hilo unayo?
(b) Kama hapo (a) hukufanya hayo;- je uliendelea kulipwa mshahara wako wakati haupo kazini??
2. Unabarua yeyote ya taarifa juu ya kuachishwa kazi na mwajiri wako au kuondolewa kwenye payroll?
Jibu kisha niendelee kukupa mbinu za kupata haki zako.
Koz binafsi niliondoka kazini na nimerudi bila wasiwasi...wao ndio hawakufuata sheria na taratibu. Nilipotea kwa siku zaidi ya 4000.
Toa majibu mkuu.
Last edited by a moderator: