Kurudishwa payroll ya Serikali

Kurudishwa payroll ya Serikali

Wewe bure kabisa mnajifanya ooh njoo ufagie kwenye kampuni yangu kumbe minyoo mitupu!!!!

Hunijui sikujui,ila ni hakika wewe mpumba.vu kuliko nilivyokuwa pengine nakuchukulia. Nakuomba tu endelea na kutumika na CCM ndiyo kazi inakufaa kwasasa.Sijapata kushuhudia mnyakyusa mpumba.vu kama wewe! "Ngwagha ulikisigwana ughwe" ndiyo maana unashindwa kujitambua,imekuathili sana katka ubongo wako. Mda wote unawaza mashindano na watu,ila kwa taarifa yako hapa namba nyingine kabisa. Kaa pembeni kabisa.
 
Hunijui sikujui,ila ni hakika wewe mpumba.vu kuliko nilivyokuwa pengine nakuchukulia. Nakuomba tu endelea na kutumika na CCM ndiyo kazi inakufaa kwasasa.Sijapata kushuhudia mnyakyusa mpumba.vu kama wewe! "Ngwagha ulikisigwana ughwe" ndiyo maana unashindwa kujitambua,imekuathili sana katka ubongo wako. Mda wote unawaza mashindano na watu,ila kwa taarifa yako hapa namba nyingine kabisa. Kaa pembeni kabisa.

Mwalimu wewe bure kqbisa!!!!

Hatunaga wanyaki misukule kama wewe
 
Huyu bwana anaitaji msaada wa kifikra kama huna cha kumshauri wewe pita kuliko kukomenti utumbo hapa hili ni jukwaa la wasomi
 
Huyu bwana anaitaji msaada wa kifikra kama huna cha kumshauri wewe pita kuliko kukomenti utumbo hapa hili ni jukwaa la wasomi

Kuna akili kama za Lusungo mkuu,akili zake hakuna tofauti na mavi. Hajawahi kujitambua.
 
Je kwa aliye resign kazi mwenyewe serikalini anaweza kuajiriwa tena serikalini akiomba?
 
kwa mtu aliyeacha/resign kazi serikalini anaweza kuja kuajiriwa tena na serikali?
 
ukiandika barua ukaresign na mwajiri akaipokea na wewe kubaki na nakala yako unakua salama!! unaweza kuajiriwa tena
 
ukiandika barua ukaresign na mwajiri akaipokea na wewe kubaki na nakala yako unakua salama!! unaweza kuajiriwa tena

itakuwaje maana uliresign mwenyewe ndugu, wanajamvi naona wanasema waraka wa 2010 hauruhusu kuajiriwa tena, imekaaje hii unayosema kaka, ebu nidadavulie kidogo.
 
hivi mtu anakuwa ameajiriwa rasmi serikalini baada ya muda gani? inawezekana mtu akawa let say kapangiwa kijiji fulani ndani ya wilaya ya kilolo huko iringa akareport kwenye halmashauri husika(kilolo) ila areport akaghairi akaondoka zake bila kuchukua hata pesa ya kujikimu?

je huyu anachukuliwa kana mtu aliyewahi kuajiriwa?
 
kama ulijaza form za utumishi utakua mtumishi tu hata kama hukuchukua mshahara wala pesa ya kujikimu!!
 
kama ulijaza form za utumishi utakua mtumishi tu hata kama hukuchukua mshahara wala pesa ya kujikimu!!

duh ngoja nifuatilie haya mambo naona yatanigharimu huko mbeleni
 
Sasa hiyo ya kubadilisha jina haiwez kukusaidia...coz chek number hutengenezwa Baada ya kuona vyeti vyako vyote original...na ikishatengenezwa ndio hiyo hadi siku ya mwisho ....hata ukiacha kazi ukirudi tena much you will submit same academic certificates itareject kuwa already in system n thus utapaswa kutumia same check number otherwise the Chief Secretary by his hand allow otherwise

Mh, Kanombe ya kweli hayo? Kama ingekuwa hivyo weng wangeumia
 
]Mh, Kanombe ya kweli hayo?
Ni kweli kabisa....kuna mfanyakazi mwenzangu alikuwa teacher akaacha akaenda kupiga degree mliman...akaomba kazi upya....ilimchukua muda miaka miwili kulipwa....lakini chek number ni ile ile ya zama i
 
]Mh, Kanombe ya kweli hayo?
Ni kweli kabisa....kuna mfanyakazi mwenzangu alikuwa teacher akaacha akaenda kupiga degree mliman...akaomba kazi upya....ilimchukua muda miaka miwili kulipwa....lakini chek number ni ile ile ya zama i

Alifanyaje?
 
hazipayroll kwauwa tunatumia majina matatu! mfano
KIFUBA J KYAITAHWA so ukipata ajira mpya unabadili inakua
KIFUBA Z KYAITAHWA hao tayari wanakua watu wawili tofauti
Mambo ,nina tatizo like huyo jamaa la kutolewa kwa payroll,so nataka niombe ajirampya,but mwanzo majina ynhu ni amina shabani mwinyimkuu,lakini kuna jina lingine la baba amabalo lipo kwenye cheti cha kuzaliwa,meanz nitumie amina aAbdullah shabani nitafanikiwa,au inshu itakuja kwenye cheti cha form ,four ni mwajiriwa wa 2009naomba msaada wako
 
Mambo ,nina tatizo like huyo jamaa la kutolewa kwa payroll,so nataka niombe ajirampya,but mwanzo majina ynhu ni amina shabani mwinyimkuu,lakini kuna jina lingine la baba amabalo lipo kwenye cheti cha kuzaliwa,meanz nitumie amina aAbdullah shabani nitafanikiwa,au inshu itakuja kwenye cheti cha form ,four ni mwajiriwa wa 2009naomba msaada wako
inatakiwa ujue kwa nini jf tunatumia ID fake! kujiweka hadharani majina yako yote kuna hatarisha maisha yako(siongelei kifo hapa) nadhani utakua ume nielewa.....
 
Back
Top Bottom