Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,395
sikumbuki hata hiyo cheki number inafananaje, nilifanya miezi mitatu nikasepaSure mkuu, ila pia kama alikuwa na check number itakuwaje? Maana kama atatumia jina lile lile wakienda katika system ya payroll na mengine itasoma japo itakuwa haiku active. Ila hakika kwa sasa wanabana sana.