Kurudishwa kwenye Government Payroll

Kurudishwa kwenye Government Payroll

Hebu niweke sawa.kama vyeti vya elimu vina majina matatu hapo huna jinsi.Pia hii system wanafatilia data nyingine iwapo wakiingiza jina litaonekana kushaabiina na jina jingine kwenye system.
Kuna mahali system huwa inauliza IS THIS NAME X SAME TO NAME Y?.Sasa system ikishauliza hvo inabdi maafsa utumishi wafatilie data nyingne na wakikuta nazo zinafanana basi wewe unawekwa kwenye blacklist ya wanaofoji data.
Lakini kama system haijaulizia ufanano wa majina basi data nyingne sio rahisi kuleta shida.Kumbuka hakuna uwezekano wa majina yote matatu kufanana ndo maana wanalazimisha uandike matatu.
Hayo niliambiwa na afsa utumishi wa shirika fulani la umma ambako mm mwenyewe nilipata kazi lkn nikakumbwa na tatzo hilohilo ikabdi nirudi halmashauri yangu na mwezi jana ndo nimerudi payroll.Ndo maana nina uzoefu kidogo.

kumsaidia kijana ajiandae kuliwa ili arudi payroll zingine mbwembwe.
 
kama inaonyesha umeshaajiriwa na wakati hukuripoti kazini ujue mshahara wako walikuwa wanakula wajanja.
 
Ndugu wanabodi,niliajiriwa mwaka 2010 halmashauri fulani lakini sikwenda ,mwaka huu nikaomba ajira nikapata tatizo limetokea kwenye system inaonekana tayari nimeshaajiriwa ,wakuu naomba msaada wa mawazo yenu na yeyote aliye tayari kunisaidia ani pm
ukifanikiwa utuletee feed back
 
Ndugu wanabodi,niliajiriwa mwaka 2010 halmashauri fulani lakini sikwenda ,mwaka huu nikaomba ajira nikapata tatizo limetokea kwenye system inaonekana tayari nimeshaajiriwa ,wakuu naomba msaada wa mawazo yenu na yeyote aliye tayari kunisaidia ani pm
nina tatizo kama lako ndugu, naomba nikuulize huko ulikopata saivi ni serikali kuu eg; tamisemi,mahakama,bunge au ni kwenye mahirika ya umma eg: tanapa.tra,stamico n.k?
 
hivi mashirika ya umma kama tra,tpdc,tanapa n.k nao payroll zao zipi hazina kama tamisemi?
 
Wakuu mie nimejifunza kitu hapo! Inaonekana wengi wanaokimbia kazi zao huja Baadae kuzikumbuka na kurudi... So wengine Huwa wanafanikiwa na wengine hawafanikiwi kurudi kule walikokataa mwanzo.. Hebu tupange maisha popote tulipo coz itafika Wakati tunapoteza vyote na kutamani hata tulivyoona vidogo na ajira za sasa hivi noma kweli..
 
Wakuu mie nimejifunza kitu hapo! Inaonekana wengi wanaokimbia kazi zao huja Baadae kuzikumbuka na kurudi... So wengine Huwa wanafanikiwa na wengine hawafanikiwi kurudi kule walikokataa mwanzo.. Hebu tupange maisha popote tulipo coz itafika Wakati tunapoteza vyote na kutamani hata tulivyoona vidogo na ajira za sasa hivi noma kweli..

ujana huwa unasababisha watu wadharau kazi. mtu anapangiwa sehemu haendi kisa ni kijijini. akishazinguana na huko alikoenda ndi anakumbuka ajira ya zamani.

all in all yote ni kutafuta maisha na ukiendekeza kupenda kukaa mjini ndio madhara yake.
 
Updates:Nilifanikiwa kupitishiwa barua ya kuomba kurudishwa kwenye payroll na Afisa utumishi tatizo hapa kwa katibu mkuu utumishi wanazingua mbaya ,natumaini hapa jamvini kuna watu wana network na watu pale naombeni msaada
 
Updates:Nilifanikiwa kupitishiwa barua ya kuomba kurudishwa kwenye payroll na Afisa utumishi tatizo hapa kwa katibu mkuu utumishi wanazingua mbaya ,natumaini hapa jamvini kuna watu wana network na watu pale naombeni msaada

Wanazingua nini?
 
Sasa hvi serikalini hakuna kuacha Kazi ila unahama mfano ni Mwalimu umepata Kazi Taasisi ya Elimu kibaha kwa kibali cha Katibu Mkuu Utumishi unaweza kuhama ukiamua kuacha Kazi na kwenda private sector ni vyema ukaandika barua ya kuacha Kazi Rasmi na kwa Maana hyo usitegemee kurudi tena serikalini kama unamatarajio ya kurudi bora kuomba likizo bila malipo na taratibu zake ni ndefu kidogo kwani kibali kinatolewa na Katibu Mkuu Utumishi na kwa sasa serikali inataka kulinki Lawson na NECTA na TCU Na NACTE yaani itakuwa ni shida zaidi hakuna kuforgi hapo manake sasa hvi system inatambua jina na tarehe za kuzaliwa zikimatch tu imekula kwako
 
Wakuu mie nimejifunza kitu hapo! Inaonekana wengi wanaokimbia kazi zao huja Baadae kuzikumbuka na kurudi... So wengine Huwa wanafanikiwa na wengine hawafanikiwi kurudi kule walikokataa mwanzo.. Hebu tupange maisha popote tulipo coz itafika Wakati tunapoteza vyote na kutamani hata tulivyoona vidogo na ajira za sasa hivi noma kweli..

Sio utani kabisa mkuu, kuna watu walikimbia kazi kwa mbwembwe bila taratibu eti wanaenda kuchukua degree wakidhani zinaliwa, wanakiona cha mtema kuni now.
 
Sio utani kabisa mkuu, kuna watu walikimbia kazi kwa mbwembwe bila taratibu eti wanaenda kuchukua degree wakidhani zinaliwa, wanakiona cha mtema kuni now.

Kama nyie ndo HR mliopo huko ofisini basi watumishi wanaishi kwa shida sana.Utaratibu upo wazi,mtu akikaa miaka kadhaa ana haki ya kujiendeleza.Sasa hutaki watu wakasome degree? Au mnahofia Nafasi Zenu zitachukuliwa...kajiendeleze wewe.
 
hata mimi nimefutika kwenye payroll huu mwezi wa 4 nimekanyaga hadi nimechoka na hakuna dalili za kunirejesha.
 
Sio utani kabisa mkuu, kuna watu walikimbia kazi kwa mbwembwe bila taratibu eti wanaenda kuchukua degree wakidhani zinaliwa, wanakiona cha mtema kuni now.

Hizi ndo akili za maafisa utumishi wengi wenye vidiploma na vibachelor degree,hawapend wafanyakazi wajiendeleze,wanaofia nafasi zao kinyama
 
Back
Top Bottom