Kurudishwa kwenye Government Payroll

Kurudishwa kwenye Government Payroll

Watu wanakula hela na wewe ni miongoni mwa wafanyakazi hewa,
 
wanajadili watu kama sisi waweze kutuajili ambao hatukuripoti
 
Sikia Lawson haichukui tu majina yako inachukuliwa mpaka namba zako za mitihani. Sasa labda ubadilishwe na vyeti. Njia iliyobaki ni kuomba kibali kwa katibu mkuu kiongozi.

Alafu jifunze kuandika vizuri unaonekana ni wale watu wasio jitambua kabisa mpaka nakuonea huruma.
Asante,na hongera kwa kujielewa kijana
 
Hoja ya msingi ulipoajiriwa mara ya kwanza vyeti vya elimu, fomu ya maelezo binafsi uliyojaza na barua ya ajira viliwekwa kwenye Lawson. Unatakiwa kuomba kwanza kibali kwa Chief Secretary ukieleza na mazingira ya kuacha yakiwa na uhalali itakuwa nafuu kwako. Vinginevyo omba ajira kwenye Taasisi nyingine ambazo haziko katika Lawson mfano TANAPA, TANESCO na NHC. Kifupi Lawson inalenga kuwa na labour stability Serikalini ili wafanyakazi wasiache na kurudi at their will.
 
Mie binafsi imenikuta Iyo niliondoka kazin Ila Jamaa hawakuniondoa kwenye payroll sasa nmepata ajira sehem nyngne nikaambiwa nikahamishe data sang nna mpka barua ya katibu mkuu,Ila Hr was Iyo halmashaur ameniondoa kwenye payroll
 
Aisee kiukweli kama ushawahi ajiriwa na ukapata cheque namba ni kazi kurudi serikalini...

System ya LAWSON ni noma...njia pekee ni kuomba kibali kwa katibu mkuu kiongozi ili akuruhusu kuajiriwa upya ila na hiyo inachukua muda....Mimi nilikiomba April 2014 akanipa December 2015...process imefanyika na nikaingia payroll June mwaka huu...Ile naingia tu JPM akasitisha ajira mpya na mimi malipo ya salary yakasitishwa nipo nasikilizia...
 
Hapana lbda jamaa yako alibadili vibaya.unabadili kabisa.coz katika system mfano JAMES.N ONYANGO NA JAMES K ONYANGO. ni watu wawili tofauti.

Ndo maana sisi walimu darasani madgo wakifananisha majina tunawaambia waweke initials zao ili system ziwapambabue.
Hata hyo LAWSON bdo wanabase kwenye majina na sio details nyingne lkn nasikia wako kwenye harakati wa kutumia both majina na namba za vyeti hapo ndi watakuwa wamemaliza mchezo.

Mimi namshukuru Mungu nimerudi payroll ila nshapewa huo ujanja na watu wengi wamefanikiwa kwa hilo.
Mmesha haribu,
 
Ulifanikiwa ama?tupe mrejesho mana jamaa angu ana tatizo kama lako na wamemwambia aende tamisemi
 
Back
Top Bottom