Kurudishwa kwenye Government Payroll

Kurudishwa kwenye Government Payroll

Lawson Ni Nini Kwani

Mkuu kifupi lawson ni mfumo wa kielektronic ambao nchi yetu imeu adopt toka nchi zilizoendelea na kazi yake kubwa ni kuzunza na kuthibiti taarifa za watumishi,ktk hl kila kitu kumhusu mtumishi kipo humo kifup ndo hvo
 
Mdau mbona hakuna afisa utumishi mwenye diploma..alafu hata mtu akijiendeleza kila mtu ananafasi yake, hakuna atakeye chukua nafasi ya mwenzio..
Note... Serikalini kuna Muundo wa utumishi unaeleza wazi kabisaa...
 
mkuu ebu sena ukweli, hukwenda au ulikwenda na vyeti vyako vikawa scanned na wewe jina lako likawekwa kwenye system na baadaye ukapata cheki # ndo ukaondoka?

other wise siyo kweli huwezi kupangiwa kituo afu usiende then uwe na tatitizo kama hilo,!

Sema kwel watu wakusaidie.

mi pia nina elewa hivo mfano sasa hivi utumishi ukipangwa kazi sehemu usipoenda ile nafasi anapewa mwingine na hata ukienda lazima kuwe na process za kukurejista payroll ikiwa pamoja na kupeleka copy ya vyeti na orijino ili wahakikishe alafu unatoa account namba yako ambayo mshahara utakua unapitia
 
kama inaonyesha umeshaajiriwa na wakati hukuripoti kazini ujue mshahara wako walikuwa wanakula wajanja.

katika hr inajulikana kama 'ghost worker ' hapo kuna mjanja itakua kaset account yake ndio mshahara unapoingia na ili mtu aweze kuset ghost worker lazima awe kwenye position yenye power ya kuweza kuset hizo vitu
 
Wakuu mie nimejifunza kitu hapo! Inaonekana wengi wanaokimbia kazi zao huja Baadae kuzikumbuka na kurudi... So wengine Huwa wanafanikiwa na wengine hawafanikiwi kurudi kule walikokataa mwanzo.. Hebu tupange maisha popote tulipo coz itafika Wakati tunapoteza vyote na kutamani hata tulivyoona vidogo na ajira za sasa hivi noma kweli..

We jamaa una busara sana. Ila maisha ni kujaribu siku zote,na pia hakuna asiyependa maendeleo ya haraka. Ndio maana kuna scandal nyingi za kifisadi.
 
unaruhusiwa kujiendeleza kielimu but unapaswa kufuata taratibu usiondoke kienyeji tu
 
Ndugu kama hukufuata process za kuacha kazi nivigumu sana kurudishwa kwenye payroll
 
Lawson ni mfumo wa kieletronic ambayo serikali inatumia kutunza kumbukumbu za watumishi,, data za watumishi wote wa serikali ndo zipo humu,,

Na Kumpa Mtu Cheti Chako Nayo Vip?
 
Mim Mwenzenu Nilipangwa Kagera Ngazi Ya Udaktar,ila Ckwenda Kurepot Kabisa Kutokana Na Sababu Za Kifamilia.Ila Mda Huu Najifkiria Kwenda Kurepot,cjui Utaratibu Utakuwaje?Maana Cjui Pa Kuanzia,je Ntapokelewa Au Watanikataa
 
Mim Mwenzenu Nilipangwa Kagera Ngazi Ya Udaktar,ila Ckwenda Kurepot Kabisa Kutokana Na Sababu Za Kifamilia.Ila Mda Huu Najifkiria Kwenda Kurepot,cjui Utaratibu Utakuwaje?Maana Cjui Pa Kuanzia,je Ntapokelewa Au Watanikataa,
Msaada Kwa Mwenye Kujua Juu Ya Hili
 
hakuna cha lawson wala nini watu waneacha kazi serikalini na wakarudi wakaacha wakarudi na check number wanazo still wameaajiriwa na wanalipwa hiii nchii hakuna lisilowezekana huko serikalini
 
hakuna cha lawson wala nini watu waneacha kazi serikalini na wakarudi wakaacha wakarudi na check number wanazo still wameaajiriwa na wanalipwa hiii nchii hakuna lisilowezekana huko serikalini

Unamfano Wa Mtu Aliyeacha Na Akarudi??Na Kama Alirudi Alifanya Mishe Au Aliomba Na Akarudi Tu? Thankz De Brazza
 
Back
Top Bottom