Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Ngoja malila aje kwa ushauri.
Malila ushauri uliompa mkuu hapo umetusaidia wengi,naomba unisaidie na mimi kuhusu kilimo cha maharage on average hecta moja inaweza zalisha kiasi gani kama taratibu zote zikifuatwa mimi nataka kulima mwaka huu kwenye mkoa mmojawapo huku nyanda za juu kusini.
<br />Nakuunganisha na mtalaamu wangu wa pale Uyole kwa simu,ili akupe uwezo wa kila mbegu ya maharage kwa eka moja, mbegu iko wapi na kwa hali ya hewa ipi nk nk. Piga 0765504765
<br />Haya Husninyo,<br />
Mwaka huu ulikuwa balaa sio mchezo,hata Elnino nadhani yamemkuta makubwa kuliko yako. Kwa wastani ukilima vizuri na mbegu nzuri ktk altitude sahihi, basi eka moja hutoa si chini ya gunia 20/30 hivi. Tatizo kubwa la wakulima wengi ni kulima kwa historia ya eneo husika la miaka hiyo ya nyuma bila kuangalia mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa. Kwa mfano Ismani Iringa,zamani bila mbolea unavuna kama huna akili nzuri,baadae ikaja matumizi ya mbolea, ghafla mvua zimekata milele, na sasa kuna njaa huko ya kufa mtu.<br />
<br />
Huko huko Iringa, wilaya ya Kilolo, kijiji cha Mawambala, kuna Wazungu wamelima mahindi hadi wanashindwa kuvuna,hivi tunavyo jadiliana hapa,wao wanalalamikia manpower kuwa ni haba. Kule mvua za Mungu zinanyesha hadi basi. Acha Mby/Rukwa/Songea. <br />
<br />
Ninachotaka kusema, kilimo cha kutegemea mvua kwa baadhi ya maeneo hakifai. Kuna maeneo ya Mfindi,ambayo mvua inanyesha sana na yana rutuba ya asili,no mbolea, lakini serikali imewapa wazungu wanapanda miti ya mbao/boriti ambako akina sie tulipaswa tulime kwa gharama nafuu. <br />
<br />
Jibu swali hili, je shamba lako ni jipya au used? mbegu uliyotumia ni compartible na location yako? Je ulifuata msimu halisi?
<br />
<br />
ubarikiwe sana.
Haya Husninyo,<br /> Mwaka huu ulikuwa balaa sio mchezo,hata Elnino nadhani yamemkuta makubwa kuliko yako. Kwa wastani ukilima vizuri na mbegu nzuri ktk altitude sahihi, basi eka moja hutoa si chini ya gunia 20/30 hivi. Tatizo kubwa la wakulima wengi ni kulima kwa historia ya eneo husika la miaka hiyo ya nyuma bila kuangalia mabadiliko ya tabia nchi kwa sasa. Kwa mfano Ismani Iringa,zamani bila mbolea unavuna kama huna akili nzuri,baadae ikaja matumizi ya mbolea, ghafla mvua zimekata milele, na sasa kuna njaa huko ya kufa mtu.<br /> <br /> Huko huko Iringa, wilaya ya Kilolo, kijiji cha Mawambala, kuna Wazungu wamelima mahindi hadi wanashindwa kuvuna,hivi tunavyo jadiliana hapa,wao wanalalamikia manpower kuwa ni haba. Kule mvua za Mungu zinanyesha hadi basi. Acha Mby/Rukwa/Songea. <br /> <br /> Ninachotaka kusema, kilimo cha kutegemea mvua kwa baadhi ya maeneo hakifai. Kuna maeneo ya Mfindi,ambayo mvua inanyesha sana na yana rutuba ya asili,no mbolea, lakini serikali imewapa wazungu wansd
Nakuunganisha na mtalaamu wangu wa pale Uyole kwa simu,ili akupe uwezo wa kila mbegu ya maharage kwa eka moja, mbegu iko wapi na kwa hali ya hewa ipi nk nk. Piga 0765504765
Big respect kwako mkuu malila kwa msaada unaotupatia na ushauri,weka na namba yako basi kama inawezekana
Mimi nililima hekari 100 dodoma nikaambulia gunia 150 tu ila atleast nimegundua baadhi ya makosa yangu,nilitaka kulima kwa remote control Palizi haikuwa nzuri
Mimi nililima hekari 100 dodoma nikaambulia gunia 150 tu ila atleast nimegundua baadhi ya makosa yangu,nilitaka kulima kwa remote control Palizi haikuwa nzuri
Mkuu hapo kwenye red umeniacha hoi kabisa, nilijaribu kufanya huo mchezo kilichonikuta najua mwenyewe....
Yaani hapo kwenye red nipakubadhiti maana mi nilishawahi kugawana mavuno sawa na msimamidhi wangu.Safari rekebisha palizi na usimamizi mzur utaona matokeo