Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,654
Helo JF katika sekta ya kilimo mwaka huu wakulima wengi hawakupata mazao jambo ambalo linawakatisha tamaa wengi wao.n Nililima ekari tano mwaka huu na matarajio yangu katika kila ekari itoe angalau gunia 20x5=gunia 100 na kila gunia ningeuza kwa bei iliyokuwepo sokoni kwa wakati huo!
Lakini nikashangaa naambulia gunia 3, Je Na wenzangu ambao ni wakulima ekari moja hutoa gunia ngapi? Naombeni mnijuze labda kuna sehemu nilikosea katika kilimo hiki cha mahindi! Na nifanyeje ili nipate mazao mengi?
Lakini nikashangaa naambulia gunia 3, Je Na wenzangu ambao ni wakulima ekari moja hutoa gunia ngapi? Naombeni mnijuze labda kuna sehemu nilikosea katika kilimo hiki cha mahindi! Na nifanyeje ili nipate mazao mengi?