ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,051
- 49,735
Serikali ya Kenya na Zambia zimeingia makubaliano ya Zambia kuikodisha Kenya mamilioni ya ekari za mashamba Kwa Ajili ya Kilimo Cha mahindi na hivyo Kuepukana na njaa ya mara Kwa mara..
Hoja yangu Kwa nini Serikali yetu Kupitia Wizara ya Kilimo isiingie makubaliano na Kenya ya kuwatengea kiwango Fulani Cha nafaka Kila mwaka Kwa Ajili hiyo Kupitia Bodi ya mazao mchanganyiko na NFRA?
Sasa mambo ya ujasusi wa kiuchumi hapa Tanzania hufanyika wapi ikiwa jambo dogo kama hili inashindikana? Hivi ujasusi wa Kitanzania ni Kwa kujihami au kutafuta masoko?
Kwa hatua hii ya Kenya tayari tumeshapoteza soko la Mahindi la Kenya Kwa wakulima Wetu Kwa kuwanufaisha Zambia..
Wakulima na Vijana huko kwenye BBT mjiandae Kisaikolojia maana Viongozi wa Tanzania wengi wao hawaaminiki..
Mwisho Ushauri Kwa Serikali,Ili kujihakikishia soko Kwa Sasa ni Bora Sasa Serikali ianze kuhamasisha value addition yaani kuuza unga badala ya nafaka na pia kukuza sekta ya mifugo ya Kisasa kama ng'ombe, nguruwe,kuku nk Kwa Ajili ya exports Ili Sasa mazao ya wakulima Wetu yapate soko Kwa kuwa chakula Cha mifugo,kinyume na hapo Jiandaeni Kwa bei za 20,000 Kwa gunia msimu ujao..
Hoja yangu Kwa nini Serikali yetu Kupitia Wizara ya Kilimo isiingie makubaliano na Kenya ya kuwatengea kiwango Fulani Cha nafaka Kila mwaka Kwa Ajili hiyo Kupitia Bodi ya mazao mchanganyiko na NFRA?
Sasa mambo ya ujasusi wa kiuchumi hapa Tanzania hufanyika wapi ikiwa jambo dogo kama hili inashindikana? Hivi ujasusi wa Kitanzania ni Kwa kujihami au kutafuta masoko?
Kwa hatua hii ya Kenya tayari tumeshapoteza soko la Mahindi la Kenya Kwa wakulima Wetu Kwa kuwanufaisha Zambia..
Wakulima na Vijana huko kwenye BBT mjiandae Kisaikolojia maana Viongozi wa Tanzania wengi wao hawaaminiki..
Mwisho Ushauri Kwa Serikali,Ili kujihakikishia soko Kwa Sasa ni Bora Sasa Serikali ianze kuhamasisha value addition yaani kuuza unga badala ya nafaka na pia kukuza sekta ya mifugo ya Kisasa kama ng'ombe, nguruwe,kuku nk Kwa Ajili ya exports Ili Sasa mazao ya wakulima Wetu yapate soko Kwa kuwa chakula Cha mifugo,kinyume na hapo Jiandaeni Kwa bei za 20,000 Kwa gunia msimu ujao..