Kurudi tena shambani mwaka 2012 katika kilimo cha mahindi

Wana-forum, nimefanikiwa kununua trector MF 565, ipo kwenye hali nzuri, ningependa niwekeze kwenye mashamba ya kukodi, na kwa vile ninazo accessories za kutosha kwa kuanzia kama, Boom Sprayer, Planter, Disc Harrow, Sub soiler, weed Cultivator na Water Pumps za nguvu, ningependa niwekeze kwenye kilimo cha mahindi, maharage, vitunguu, Karanga na ufuta. Shida kubwa niliyo nayo ni jinsi ya kupata mashamba ya kukodisha of course used, sio ya kuvunja, japo hata kama nikipata ya kuvunja kwa garama nafuu kwenye Potential areas zenye mvua za kutosha na mito ya kutosha kama vle Morogro ili niweze kuvuna maji ningefurahi sana, tatizo kubwa sijui wapi nitapata haya mashamba hata kam nikuanzia eka (70m) au Hecta (100m), 20 - 500 ekas / hectas, nitajitahidi niweze kutumia vifaa vya kilimo nilivyo navyo, na kama mnavyoona ninajitahidi sana kuondokana na kutegemea human lobour kwani kwa maisha ya leo Human labour imekuwa ya ghali sana. Jamani naombeni mawazo yenu. Natanguliza shukrani zangu za awali.




Kuna thread moja humu ina title Mwekezaji anatafuta shamba ukiipitia kwa makini utajua wapi pa kupata mashamba au mpm mtu anaitwa Doltye (sina uhakika na spelling) yumo kwenye hiyo thread atakusaidia
 
Ni PM tupange mkakati wa kilimo!!

Nina access ya mashamba ya kutosha!!

Wana-forum, nimefanikiwa kununua trector MF 565, ipo kwenye hali nzuri, ningependa niwekeze kwenye mashamba ya kukodi, na kwa vile ninazo accessories za kutosha kwa kuanzia kama, Boom Sprayer, Planter, Disc Harrow, Sub soiler, weed Cultivator na Water Pumps za nguvu, ningependa niwekeze kwenye kilimo cha mahindi, maharage, vitunguu, Karanga na ufuta. Shida kubwa niliyo nayo ni jinsi ya kupata mashamba ya kukodisha of course used, sio ya kuvunja, japo hata kama nikipata ya kuvunja kwa garama nafuu kwenye Potential areas zenye mvua za kutosha na mito ya kutosha kama vle Morogro ili niweze kuvuna maji ningefurahi sana, tatizo kubwa sijui wapi nitapata haya mashamba hata kam nikuanzia eka (70m) au Hecta (100m), 20 - 500 ekas / hectas, nitajitahidi niweze kutumia vifaa vya kilimo nilivyo navyo, na kama mnavyoona ninajitahidi sana kuondokana na kutegemea human lobour kwani kwa maisha ya leo Human labour imekuwa ya ghali sana. Jamani naombeni mawazo yenu. Natanguliza shukrani zangu za awali.
 
Fau tembelea bonde laIfakara (Siajajua kama 565 ni 4WD), lakini pia Mbalizi na Maeneo ya wilaya ya Kongwa.....kwa ushauri umesema Morogoro yes eneo kubwa la Mrogoro na hata Tanga pia waweza kupata Mashamba makubwa
 
Helo jf katika sekta ya kilimo mwaka huu wakulima wengi hawakupata mazao jambo ambalo linawakatisha tamaa wengi wao.nililima ekari tano mwaka huu na matarajio yangu katika kila ekari itoe angalau gunia 20x5=gunia 100 na kila gunia ningeuza kwa bei iliyokuwepo sokoni kwa wakati huo! Lakini nikashangaa naambulia gunia 3 Je Na wenzangu ambao ni wakulima ekari moja hutoa gunia ngapi? Naombeni mnijuze labda kuna sehemu nilikosea katika kilimo hiki cha mahindi! Na nifanyeje ili nipate mazao mengi?
Wee muongo huwezi kutoa gunia 3 kwa ekari 5
 
Ha ha
Mkuu we acha tu ilikuwa mara yangu ya kwanza kulima nimegain bonge la experience asikudanganye mtu ukitaka kulima kwa mafanikia lazima usonge front mwenyewe hata kama huwezi kuhamia shamba walau kila hatua iwe kulima,kupalilia au kuvuna lazima uifuatilie kwa ukaribu shambani sio kukaa ofisini tu kwenye kiyoyozi unapiga simu itakula kwako tu,huu ni ushauri kwa staters wenzangu wote
Ha hah hah me mbona nilikuwa Na lengo la kulima kwa simu Mkuu
 
malila nipe mchanganuo wa kilimo cha karoti kama unajua vizur mkuu. Mm nipo mbeya
Asanteni kwa kuniita,

Sijawahi kulima karoti, ila naweza kukuelekeza mahali kwa dogo, yy analima, kama hutajali piga 0765077262, hapo kijijini kwao kuna karoti balaa. Mwambie Mimi Malila nimekupa simu yake.
 
Mkuu we acha tu ilikuwa mara yangu ya kwanza kulima nimegain bonge la experience asikudanganye mtu ukitaka kulima kwa mafanikia lazima usonge front mwenyewe hata kama huwezi kuhamia shamba walau kila hatua iwe kulima,kupalilia au kuvuna lazima uifuatilie kwa ukaribu shambani sio kukaa ofisini tu kwenye kiyoyozi unapiga simu itakula kwako tu,huu ni ushauri kwa staters wenzangu wote
mkuu vipi ,ulilima tena?
 
Back
Top Bottom