Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 16,343
- 52,383
Sina mamlaka nae, Sina hati miliki ya utelezi wake wala sina ubavu wa kumpangia nani ampe na nan asimpe au asimpe mtu yeyoteNa nyumbani akifika Wakurungwa wanaruka nae.
Sina mamlaka nae, Sina hati miliki ya utelezi wake wala sina ubavu wa kumpangia nani ampe na nan asimpe au asimpe mtu yeyoteNa nyumbani akifika Wakurungwa wanaruka nae.
Kupigiwa keleleHt mi mwanamke
Ushasema kuishi na mwanamke kazi😅
Haya niambie kazi ipi hiyo inayokufanya uone kuishi na mwanamke ni kazi?
Kelele Huwa mnazitaka wenyewe tuKupigiwa kelele
Kupangiwa mda wa kurudi home
Mengn itajulikana ndani😂
Kinadharia ni rahisi ila mkiingia ndani Mungu anawaona Nyie wadada.....Afu kumbuka mm ni mkristo na ndoa za kikristo unaelewaKelele Huwa mnazitaka wenyewe tu
Kuna ndoa hata hawajui kelele .
Na kelele Huwa zinakuja mnapoamza kuzingua,ile too much!
Ss Muda wa kurudi SI inategemea na shughuli zako plus ratiba zako!?
Mke Huwa anajua kazi na ratiba za mumewe....
Kwani Kwa mfano ukiaga unapoenda kwenye mishe zako utapungukiwa nn?
Haya umechelewa au umepatia dharula kwani ukitoa taarifa unapungukiwa nn?
Wanawake bwana ni vitu vidogo sn ukiweza ht sio issue
Bila shaka ni penzi jipya hilo.Ndio maana home nikalipia Kila kitu hadi king'amuzi ili nisitoke hovyo nikitoka kurudi saa 12 jioni na kibaridi hiki mapenzi matamu sana
Shida wakati mwingine ni nyieKinadharia ni rahisi ila mkiingia ndani Mungu anawaona Nyie wadada.....Afu kumbuka mm ni mkristo na ndoa za kikristo unaelewa
Kabla ya ndoa, Kila mmoja anakuwa ana tabia zake binafsi ambazo kama akiziendeleza baada ya kuwa amefunga ndoa, basi kuna uwezekano mkubwa wa kuiharibu mapema hiyo ndoa yenyewe.Hii ni kasumba tutayokumbana nayo wanaume kwenye ndoa.
Ukiwa bachelor uhuru wa kurudi muda unaotaka , kukesha baa kuangalia mpira na kunywa bia, vyote hivi vinakuwa changamoto baada ya kuanza kuishi na mwanamke.
Hivi kwanini wanawake mnapenda wanaume turudi mapema?!
Maana hata ukirudi mapema kila siku, mbususu unapewa akijisikia.
HahahahahahaUnapata chuma mfano wa Fatuma Karume, mmhhh kurudi saa tano,kuondoka saa kumi na mbili.
Tunatofautiana mm sipend mwanaume anakuja mapema au anaekula lunch home cpend cpend cpendHii ni kasumba tutayokumbana nayo wanaume kwenye ndoa.
Ukiwa bachelor uhuru wa kurudi muda unaotaka , kukesha baa kuangalia mpira na kunywa bia, vyote hivi vinakuwa changamoto baada ya kuanza kuishi na mwanamke.
Hivi kwanini wanawake mnapenda wanaume turudi mapema?!
Maana hata ukirudi mapema kila siku, mbususu unapewa akijisikia.
Sina hamu na hlo neno bolded!uki mess up kwenye communication basii mahusiano yyt lzm uone magumu
Hahahaha! Na ukichelewa kujibu tu ananuna au sio!Sina hamu na hlo neno bolded!
Eb saa zingine jueni kutofautisha mawasiliano na usumbufu, Kuna Moja alijua kuninyoosha mpka bas fb messenger, telegram, watsup, Dm Instagram na normal text kote nachatishwa kwa wakati moja kila sehemu na mada yake...hapo asubuhi ntaongea na jioni mtaongea, ukichelewa kureply unapigiwa simuukijaribu kuchat ktk namna ambayo unamaliza mada bas inaunganishwa nyingine juu Kwa juu......mara buku mtu uwe single saa zingn
😳🙄Sina hamu na hlo neno bolded!
Eb saa zingine jueni kutofautisha mawasiliano na usumbufu, Kuna Moja alijua kuninyoosha mpka bas fb messenger, telegram, watsup, Dm Instagram na normal text kote nachatishwa kwa wakati moja kila sehemu na mada yake...hapo asubuhi ntaongea na jioni mtaongea, ukichelewa kureply unapigiwa simu🤔ukijaribu kuchat ktk namna ambayo unamaliza mada bas inaunganishwa nyingine juu Kwa juu......mara buku mtu uwe single saa zingn
Amani ya kwel ni kuchill tu mwenyewe kula good time😳🙄
Huu ss ni utoto
Mawasiliano Gani haya ?🙌khaaa
Mi siwezi aisee
Pole sn
Kuna Muda unakua mpwekeAmani ya kwel ni kuchill tu mwenyewe kula good time
Mdada mzur idara zote yupo vzr ila ana utoto mwingi😂😂nlikoma nlikuwa natoka asubuh saa 12 narudi saa nne au tano na wakati kawaida ningetoka saa mbili asubuh Afu Sasa 12 au Moja nipo getoHahahaha! Na ukichelewa kujibu tu ananuna au sio!
Kama saa mbili asubuh mpka saa 1 npo bize, huo upweke utoke wapiKuna Muda unakua mpweke
Ni kweli Kwa ss huwezi ona.ila itafika time ,utaelewa nachokwambia!.Kama saa mbili asubuh mpka saa 1 npo bize, huo upweke utoke wapi
Kama mke wako kukupa mbusus mpaka ajisikie hakika upo na tapeli la mapenzi kwenye hiyo nyumba 🙌🙌🙌Hii ni kasumba tutayokumbana nayo wanaume kwenye ndoa.
Ukiwa bachelor uhuru wa kurudi muda unaotaka , kukesha baa kuangalia mpira na kunywa bia, vyote hivi vinakuwa changamoto baada ya kuanza kuishi na mwanamke.
Hivi kwanini wanawake mnapenda wanaume turudi mapema?!
Maana hata ukirudi mapema kila siku, mbususu unapewa akijisikia.
Kuoa ni unkwepable lkn sio saivNi kweli Kwa ss huwezi ona.ila itafika time ,utaelewa nachokwambia!.
Ni suala la Muda tu