yshima
Member
- Sep 12, 2010
- 31
- 1
Hellow wana JF!!
Jamani nina simu aina ya NOKIA 6120 Classic ambayo ina 35MB Free User memory (Internal Phone Memory; C.).
Ajabu ni kwamba, wala sijasevu vitu vingi zaidi ya contacts,sms na baadhi ya applications ambazo zote kwa ujumla hata hazifiki 10MB,..lakini eti nikiangalia Memory iliyo baki ni 2.7Mb tu.
Sasa hii memory nyingine imechukuliwa na kitu gani?..nime-delete/kuhamishia vitu kibao kwenye memory card lakini wapi..sasa sijui tatizo ni nini...NISAIDIENI KUTATUAHILI TATIZO JAMANI!!!
Jamani nina simu aina ya NOKIA 6120 Classic ambayo ina 35MB Free User memory (Internal Phone Memory; C.).
Ajabu ni kwamba, wala sijasevu vitu vingi zaidi ya contacts,sms na baadhi ya applications ambazo zote kwa ujumla hata hazifiki 10MB,..lakini eti nikiangalia Memory iliyo baki ni 2.7Mb tu.
Sasa hii memory nyingine imechukuliwa na kitu gani?..nime-delete/kuhamishia vitu kibao kwenye memory card lakini wapi..sasa sijui tatizo ni nini...NISAIDIENI KUTATUAHILI TATIZO JAMANI!!!