Yaani ukitaka kujua namna Jiwe "anavyochemka" katika teuzi zake ni huu wa Mwigulu!
Hakuna kiongozi ambaye ni kigeugeu, ambaye Taifa hili limepata kuwa naye kama Jiwe!
Hivi Mkuu wa nchi unawezaaje kutokea mbele ya hadhara na kuanza kumponda mteule wako kwa kashfa chungu mzima, kama alivyofanya kwa Mwigulu??
Haijapita hata miaka 2 unamrejesha yule yule uliyemuona takataka hapo siku za nyuma!
Huo ni ushahidi tosha kabisa kuwa kumbe kashfa zote ulizotoa wakati ule ilikuwa majungu!
Hivi kweli hakuna wananchi wengine ambao wako competent kushika nyazifa hizo??