TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Hiyo inaitwa kampa kampa tena,hakuna tatizo hapo.Tatizo sio holder wala bulb ilikuwa ni loose connection tusha ifix.
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums
Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?
Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Holder ndo mbovuKama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums
Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?
Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
tatizo ni bulb au holder?Mkuu kipindi cha Corona Hii. Acha ujinga. After all humpendi JPM so maamuzi yake kwa Nini unahangaika Nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
nunua revolver ndugu!Sisi wananchi ndio mazwazwa na watawala washatuona kama wanaweza kufanya wanavyojisikia na tusifanye lolote!
Angalia mambo yanayoendelea hapa nchini lakini tunapiga kelele mitandaoni tu.. Hakuna anayechukua hatua,tumekua waoga! Hii nchi sijui tulilishwa nini? Kuna wapuuzi wachache wanafanya wanavyotaka,wanatumia vyombo vya usalama ambavyo vinalipwa kwa kodi zetu kutunyanyasa!
Kuna viongozi mwezi huu wa ramadhani nao wamefunga! Wengine leo jumapili na kanisani wameenda! Hivi ni Mungu yupi wanaomuabudu? Tatizo hapa sio holder wala bulb bali mfumo mzima ndio tatizo na ndio maana mara leo iwake kesho izime!
Simbachawene hakuondolewa kuwa na kimbukumbu
Nchemba kichwa chake kipo vizuri naona leo ufipa hamlali mnalialia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwigulu ni mchapakazi ni kwamba alipumzishwa tu na kazi inaendelea
toka nimezaliwa sijawahi kusikia popote duniani eti waziri wa katiba na sheria ambaye hana elimu ya sheria...haya ni maajabu duniani!.
kwa uelewa wangu mdg, baadhi ya wizara ni lazima waziri awe na taaluma husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Chodomo mmepata pa kusemea. Tatizo lenu huwanasubiri hadi watawala wafanye kitu ndo muanze kuropoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni holderKama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums
Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?
Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Tatizo ni holder ndiyo maana bulb zinaungua.Tuna utawala wa kipekee duniani.Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums
Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?
Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Wamekwisha kuwa refined cholesterol free now.Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums
Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?
Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Kusifu na kuabudu kunawafaa waaminio halisi.Riz sio muamini halisi,hadi uwe na njaaKina Rizone sijui wana gundu gani, mana jamaa ni msomi wa sheria tena ana Masters kabisa
Upinzani ni itikadi ni iman huwezi iuwa physical kwa kutumia polisi, wasiojulikana, DPP,manunuzi,nk ni lzm utumie spiritual technicsKichekesho ni pale aliyesomea sheria anasimamia michezo, na aliyekariri mambo ya uchumi anasimamia sheria! Halafu eti hicho kichwa ndio kinatamba kuwa kitaua upinzani kutokana na utendaji wake mzuri!
Huyo unayemuulizia anatokea kanda gani hapa nchini?Hana sifa zitakiwazo.Kina Rizone sijui wana gundu gani, mana jamaa ni msomi wa sheria tena ana Masters kabisa