Kurejeshwa kwenye Cabinet kwa mawaziri Simbachawene na Mwigulu - tatizo ni bulb au holder?

Kina Rizone sijui wana gundu gani, mana jamaa ni msomi wa sheria tena ana Masters kabisa
 
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.

Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.

Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.

Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums

Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?

Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?

Mkuu kipindi cha Corona Hii. Acha ujinga. After all humpendi JPM so maamuzi yake kwa Nini unahangaika Nayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.

Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.

Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.

Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums

Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?

Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Holder ndo mbovu
 
Sisi wananchi ndio mazwazwa na watawala washatuona kama wanaweza kufanya wanavyojisikia na tusifanye lolote!

Angalia mambo yanayoendelea hapa nchini lakini tunapiga kelele mitandaoni tu.. Hakuna anayechukua hatua,tumekua waoga! Hii nchi sijui tulilishwa nini? Kuna wapuuzi wachache wanafanya wanavyotaka,wanatumia vyombo vya usalama ambavyo vinalipwa kwa kodi zetu kutunyanyasa!

Kuna viongozi mwezi huu wa ramadhani nao wamefunga! Wengine leo jumapili na kanisani wameenda! Hivi ni Mungu yupi wanaomuabudu? Tatizo hapa sio holder wala bulb bali mfumo mzima ndio tatizo na ndio maana mara leo iwake kesho izime!
 
Sisi wananchi ndio mazwazwa na watawala washatuona kama wanaweza kufanya wanavyojisikia na tusifanye lolote!

Angalia mambo yanayoendelea hapa nchini lakini tunapiga kelele mitandaoni tu.. Hakuna anayechukua hatua,tumekua waoga! Hii nchi sijui tulilishwa nini? Kuna wapuuzi wachache wanafanya wanavyotaka,wanatumia vyombo vya usalama ambavyo vinalipwa kwa kodi zetu kutunyanyasa!

Kuna viongozi mwezi huu wa ramadhani nao wamefunga! Wengine leo jumapili na kanisani wameenda! Hivi ni Mungu yupi wanaomuabudu? Tatizo hapa sio holder wala bulb bali mfumo mzima ndio tatizo na ndio maana mara leo iwake kesho izime!
nunua revolver ndugu!
 
Mwigulu ni mchapakazi ni kwamba alipumzishwa tu na kazi inaendelea

Kama unampumzisha mchapakazi, hapo tatizo ni holder ama bulb? Sisi tunaoamini kuwa tuna rais, lakini rais asiye na uwezo wa kazi ya urais bado tuko sahihi sana.
 
toka nimezaliwa sijawahi kusikia popote duniani eti waziri wa katiba na sheria ambaye hana elimu ya sheria...haya ni maajabu duniani!.

kwa uelewa wangu mdg, baadhi ya wizara ni lazima waziri awe na taaluma husika

Sent using Jamii Forums mobile app

Kichekesho ni pale aliyesomea sheria anasimamia michezo, na aliyekariri mambo ya uchumi anasimamia sheria! Halafu eti hicho kichwa ndio kinatamba kuwa kitaua upinzani kutokana na utendaji wake mzuri!
 
Chodomo mmepata pa kusemea. Tatizo lenu huwanasubiri hadi watawala wafanye kitu ndo muanze kuropoka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Pitia vizuri michango ya huku ndani toka huyo jamaa kaingia madarakani kama aliwahi kupata sifa zozote. Nyie mliolishwa sifa za kijinga ndio mlidhani jamaa yuko vizuri, ila mmeanza kumjua vizuri mkiwa mmechelewa.
 
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.

Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.

Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.

Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums

Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?

Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Tatizo ni holder
 
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.

Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.

Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.

Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums

Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?

Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Tatizo ni holder ndiyo maana bulb zinaungua.Tuna utawala wa kipekee duniani.
 
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.

Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.

Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.

Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums

Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?

Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Wamekwisha kuwa refined cholesterol free now.
 
Unapokuwa na vibovu tupu na huwezi kununua vipya, basi unaangalia tu kati ya vile vibovu chenye unafuu kidogo hichohicho unachukua kusogeza siku.
 
Kichekesho ni pale aliyesomea sheria anasimamia michezo, na aliyekariri mambo ya uchumi anasimamia sheria! Halafu eti hicho kichwa ndio kinatamba kuwa kitaua upinzani kutokana na utendaji wake mzuri!
Upinzani ni itikadi ni iman huwezi iuwa physical kwa kutumia polisi, wasiojulikana, DPP,manunuzi,nk ni lzm utumie spiritual technics
 
Back
Top Bottom