Kurejeshwa kwenye Cabinet kwa mawaziri Simbachawene na Mwigulu - tatizo ni bulb au holder?

Unapokuwa na vibovu tupu na huwezi kununua vipya, basi unaangalia tu kati ya vile vibovu chenye unafuu kidogo hichohicho unachukua kusogeza siku.
kwa hiyo vyote - bulb na holders ni tatizo, siyo?
 
Yaani ukitaka kujua namna Jiwe "anavyochemka" katika teuzi zake ni huu wa Mwigulu!

Hakuna kiongozi ambaye ni kigeugeu, ambaye Taifa hili limepata kuwa naye kama Jiwe!

Hivi Mkuu wa nchi unawezaaje kutokea mbele ya hadhara na kuanza kumponda mteule wako kwa kashfa chungu mzima, kama alivyofanya kwa Mwigulu??

Haijapita hata miaka 2 unamrejesha yule yule uliyemuona takataka hapo siku za nyuma!

Huo ni ushahidi tosha kabisa kuwa kumbe kashfa zote ulizotoa wakati ule ilikuwa majungu!

Hivi kweli hakuna wananchi wengine ambao wako competent kushika nyazifa hizo??
Amejirekebisha Mkuu kwa mujibu wa Mwalimu Kashasha.Hii Nvhi hupaswi kuiwekea hasira.

Ina bett mambo yake mengi sana.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom