MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,223
- 22,299
Wakuu hadi sasa hivi nimelimwa block kwenye page kadhaa mitandaoni sababu kubwa ni kuwa na mawazo tofauti. Hizi ni baadhi ya page ambazo nimepigwa block;
1. Malisa GJ - huyu kanilima block Instagram, Facebook na Twitter (X). Hataki kabisa kupingwa au kukosolewa.
2. Martin Maranja Masese - huyu nae sababu ni kama za Malisa. Upuuzi mtupu.
3. Maria Sarungi - huyu naye ni kama hao wawili hapo juu.
4. Lemutuz - hii block nilikula wakati hayati akiwa hai. Sababu ilikuwa kupinga stori ya uongo aliyotoa kuhusu Amida Chartur mke wa Vital Kamerhe.
5. Mange Kimambi - Sababu ni kupinga udhalilishaji uliopitiliza anaoufanya.
6. Ex wangu - huyu hasira zake tu za kimapenzi zimesababisha aniblock kuanzia watsapp hadi kwingine kote.
Mimi sijutii chochote kwasababu maisha yanatakiwa yaendelee. Ila ninawasihi wafuasi wa CHADEMA kuacha tabia za ku-block wote wenye mawazo tofauti na wao. Hao mnaowablock ndo wapiga kura.
Mnaweza kudhani mmeblock mtu mmoja kumbe mmeblock watu wengi ambao wengine ni familia yake.
Mwisho wake ni chama chenu kula BLOCK kwenye sanduku la kura. Kama Martin na Malisa hawana uvumilivu wa kisiasa wafanye kazi zingine. Wawe wanapost memes.
Nampongeza sana Yericko Nyerere kwa uvumilivu wa kisiasa alio nao.
1. Malisa GJ - huyu kanilima block Instagram, Facebook na Twitter (X). Hataki kabisa kupingwa au kukosolewa.
2. Martin Maranja Masese - huyu nae sababu ni kama za Malisa. Upuuzi mtupu.
3. Maria Sarungi - huyu naye ni kama hao wawili hapo juu.
4. Lemutuz - hii block nilikula wakati hayati akiwa hai. Sababu ilikuwa kupinga stori ya uongo aliyotoa kuhusu Amida Chartur mke wa Vital Kamerhe.
5. Mange Kimambi - Sababu ni kupinga udhalilishaji uliopitiliza anaoufanya.
6. Ex wangu - huyu hasira zake tu za kimapenzi zimesababisha aniblock kuanzia watsapp hadi kwingine kote.
Mimi sijutii chochote kwasababu maisha yanatakiwa yaendelee. Ila ninawasihi wafuasi wa CHADEMA kuacha tabia za ku-block wote wenye mawazo tofauti na wao. Hao mnaowablock ndo wapiga kura.
Mnaweza kudhani mmeblock mtu mmoja kumbe mmeblock watu wengi ambao wengine ni familia yake.
Mwisho wake ni chama chenu kula BLOCK kwenye sanduku la kura. Kama Martin na Malisa hawana uvumilivu wa kisiasa wafanye kazi zingine. Wawe wanapost memes.
Nampongeza sana Yericko Nyerere kwa uvumilivu wa kisiasa alio nao.