CHADEMA isipowadhibiti vijana wake, itakuja kujuta

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,780
18,748
CHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake

Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama

Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe

Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.

Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa

Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa

Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema

Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu

Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu

Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi

Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana
 
Kwa nini sasa unaleta hapa na usiwaambie huko huko ulikowatoa ? Hao unaowataja wengine hatujawahi hata kuwasikia, ungejibizana nao huko huko walipo ingekusaidia zaidi labda kwa maoni yangu!
 
Nyie mnapenda siasa za kinafiki ndio mnaita siasa nzuri, siasa za kujipendekeza kwa watawala, sioni chochote cha kujutia hapo.

Msigwa alikuwa anamponda Magufuli wakati wa utawala wake, ni sawa, lakini mbona siku hizi anasifia tu, haoni mapungufu kwenye utawala uliopo?

Fatma Karume ndie huita wengine wadini wakimkosoa, yeye ndie hukimbilia udini na ukabila ili kujilinda na udhaifu wake, matokeo yake sasa hivi yeye ndie anaonekana mdini.

Issue kama ya Ngorongoro sijawahi kumuona akizungumzia chochote, yupo kimya tu, licha ya ukatili wanaofanyiwa wamasai, sasa kama sio anamlinda "mwenzake katika imani" aliyepo ikulu uniambie anafanya nini kingine.
 
Kundi la Sukuma gang lilikuwa kubwa Sana mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Lkn mpk sasa limepukutika wamebakia wachacne mno.

Ni kwasabb ya unafiki na kujipendekeza.

Vijana wa chadema hawataki kujipendekeza.
 
CHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake

Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama

Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe

Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.

Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa

Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa

Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema

Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu

Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu

Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi

Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana
Yasemekana huyo Martin Maranja Masese ni mgonjwa wa UKIMWI na yule mdude Chadema naye ana UKIMWI na huku nyuma marinda yamefumuliwa alipotekwa na watu wa Magufuli. Hivyo wako desperate hawana hadhi wanayoilinda maishani. Wao kutukana sawa, wakishikwa na kutupwa jela nayo sawa tu
 
CHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake

Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama

Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe

Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.

Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa

Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa

Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema

Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu

Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu

Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi

Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana
Chadema hata kabla ya mwendazake siasa za mitandaoni ni zao daima ,umezaliwa mwaka gani?
 
Back
Top Bottom