Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,780
- 18,748
CHADEMA inafanya siasa zake mtandaoni kwa kiasi kikubwa, kutokana na mazingira ya siasa nchini yalivyo tangu enzi za mwendazake
Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama
Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe
Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.
Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa
Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa
Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema
Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu
Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu
Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi
Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana
Sasa kuna vijana wa Chadema wamekuwa popular sana huko mtandaoni kuliko hata viongozi wao wa kitaifa, na waki push ajenda fulani inaonekana kama ni Chadema sababu wamebeba brand ya chama
Sasa tatizo kubwa la hawa vijana, nataka nimtolee mfano huyu anayeitwa Martin Maranja Masese, huyu alipata umaarufu mkubwa kutokana na ku tweet kuhusu kesi ya Mbowe
Kijana huyu yupo passionate na Chadema lakini hajui siasa, anafikiri siasa ni kupiga spana, ama kutukana ama kudhalilisha watu wenye mawazo tofauti basi.
Hajui kwenye siasa kuna muda unatakiwa kukaa kimya, saa nyingine hata kupongeza mahasimu wako, saa nyingine kukosoa
Believe me, kuna muda ukimsifia hasimu wako kisiasa inakupa heshima zaidi kuliko kulazimisha kumkosoa
Kipindi cha Magufuli ambacho ilikuwa ndio kipindi kibaya zaidi kwa upinzani nchini, wapo watu wengi waliteswa ili waunge mkono juhudi lakini wakabaki upinzani, side moja na Chadema
Sasa bana Watu hawa ikitokea wametofautiana na Chadema kidogo tu, iwe kwenye approach ya kudai Katiba mpya, ama kuhusu Wamasai Ngorongoro, ama mambo ya kikosi kazi na mengineyo wamekuwa wakishambuliwa na kudhalilishwa na sacrifice zote za nyuma kusahaulika, anayeongoza haya mashambulizi ni huyo Martin, sidhani kama chama cha siasa kinaweza kukua kama watu wake wana mtazamo huu
Fikiria mtu kama Msigwa ambaye kipindi cha Magufuli alinunuliwa akagoma akenda jela na kudhalilishwa pakubwa, na amekuwa pamoja na Chadema kwenye mambo mengi tu, leo hii unakuta anashambuliwa na kuitwa njaa ya kukosa ubunge imemshinda na amenunuliwa, kisa tu alikuwa na maoni tofauti kuhusu Ngorongoro na Royal Tour ambapo alieleza vizuri tu
Fikiria mtu kama Fatma Karume alivyompigania Lissu kabla na baada ya kupigiwa risasi na kupaza sauti kuhusu uonevu mwingi wa Magufuli na hata Mbowe alivyokuwa jela kwa kesi ya ugaidi
Fatma kaenda kutoa maoni kuhusu kikosi kazi imekuwa kosa kubwa anashambuliwa kuwa ni mdini na mkabila,
Aisee siasa za upinzani Tanzania ngumu sana